MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi
Habari

TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajiwa kuzindua boti nne za kisasa za doria katika eneo la majini ili kudhibiti vitendo viovu vya uingizwaji wa bidhaa hatarishi pamoja na kulinda mapato ya nchi.

Mkurugenzi wa Elimu na Mawasiliano TRA,Richard Kayombo amesema hayo leo Dar es Salaam na kuongeza kuwa uzinduzi huo utafanyika Septemba 18,2024 jijini Mwanza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko.

Kuhusu uzinduzi huo amesema itakwenda pamoja na utoaji wa taarifa ya kuanza Kwa boti hizo Kwa ajili ya kudhibiti magendo na boti hizo zitaelekezwa kwenye maziwa yote nchini na baharini.

Amesema boti hizo zitasaidia tatizo la upotevu wa mapato uingizwaji wa bidhaa za magendo lakini pia upitishwaji wa bidhaa zisizotakiwa kutoka nchini.

” Boti zitasaidia kudhibiti uingizwaji wa bidhaa zisizokubalika, uingizwaji wa bidhaa hatarishi pamoja na kupitisha bidhaa zisizotakiwa”‘ amesema Kayombo na kuongeza kuwa zitasambazwa katika bandari ya Dar es Salaam, Tanga, Mwanza na Kigoma.

Amesema kutokana na matumizi ya boti hizo, TRA inatoa tahadhari kwa wanaohusika na magendo kuepukana na vitendo hivyo.

Amesema Mamlaka ya Mapato linasimamia suala la Ulinzi na usalama wa majini ili vitu hatarishi ama wahamiaji haramu wasisingie nchini au bidhaa kutoka bila utaratibu.

Kayombo amesema kupitia uzinduzi huo, wanafanya vitendo hivyo viovu wake chonjo kwani TRA inaongezeka udhibiti wa uingizwaji wa bidhaa hatarishi au zisizopitia mikono ya udhibiti salama.

You Might Also Like

Rasmi Leo DSM Kuanza Biashara Saa 24

TARURA yaimarisha ubora wa barabara kwa kuwa na maabara mikoani

Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi

SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi

Rais Samia kufanya ziara mkoani Morogoro, kuzindua safari za SGR

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Mwinyi Azindua Ripoti ya Jiolojia, Utafiti Madini zanzibar
Next Article Mikataba ya Bilioni 50.9 Yasainiwa kuwezesha nishati safi ya kupikia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?