MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi
Habari

Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

RAIS  Dkt  Samia Suluhu Hassan amesema  Tanzania na Namibia zimekubaliana kuongeza juhudi za kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa kutafuta njia madhubuti za kukuza biashara baina yao, ikiwa ni Pamoja na kuwezesha uwepo wa miradi mikubwa ya uwekezaji kutoka pande zote mbili

Wakizungumza na vyombo vya habari akiwa na Rais wa Namibia Dk Netumbo Nandi-Ndaitwa mara baada ya mazungumzo rasmi, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa sekta binafsi katika kuchochea ajira kwa vijana na kupunguza umaskini.

Aidha marais hao wameeleza dhamira ya kupanua ushirikiano katika maeneo ya elimu, utalii, mazingira, mifugo, uvuvi na nishati na kuweka msisitizo kwa sekta binafsi kuwekeza kwa kiwango kikubwa tofauti na hali ilivyo sasa.

Rais Samia amebainisha kuwa biashara kati ya Tanzania an Namibia imeongezeka kutoka sh bilioni 17 hadi bilioni 20 kati yam waka 2019 na 2023 hata hivyo amesema kiwango hicho bado ni kidogo kulinganisha na fursa zilizopo na kuwataka wafanyabiashara wan chi hizo mbili kuchangamkia fursa hizo.

Kadhalika ameikaribisha sekta binafsi ya Namibia kuja kuwekeza na kushirikiana na Tanzania katika sekta za uongezaji thamani wa mifugo,uvuvi na katika  sekya utalii

Katika eneo la utamaduni Rais Samia ameeleza kuwa Tanzania na Namibia zinatarajia kushirikiana katika sekta ya elimu, ambapo Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kitashirikiana na Chuo cha Triumphant cha Namibia kufundisha lugha ya Kiswali kama nia ya kukuza uhusiano, urafiki na mshikamano kijamii.

You Might Also Like

Trilioni 1.2 Kumaliza Tatizo la Maji Dar

Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

Ujenzi Kiwanda cha Chumvi Waanza Lindi

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe
Habari May 21, 2025
TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa
Habari May 21, 2025
Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 
Habari May 20, 2025
Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi
Habari May 20, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?