MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi
Habari

TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
DAR ES SALAAM: KUELEKEA uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imejipanga kuelimisha wananchi kujua madhara ya rushwa na kuhamasiaha kushirikiana na taasisi hiyo kutokomeza vitendo hivyo.
Naibu Mkuu wa TAKUKURU, wilaya ya Kinondoni, Elizabeth Mokiwa  amesema hayo leo Dar es Salaam na kuongeza kuwa Taasisi hiyo itaendelea kupokea malalamiko yote yanayohusu rushwa na kuyafanyia kazi kwa uharaka ili kuweza kudhibiti vitendo hivyo wakati wote.
Amesema rushwa katika uchaguzi husababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasio waadilifu watakaotumia muda wao mwingi wa uongozi kurejesha fedha zao na siyo kuleta maendeleo kwa wananchi.
Aidha ametoa wito kwa wananchi  kuendelea kutoa ushirikiano kwa Taasisi hiyo na kuwasihi wenye taarifa zozote za rushwa kuwasiliana nao bure kwa kupiga au kutuma ujumbe mfupi kwa namba ya dharura 113 nakufuata maelekezo.
Kuhusu mikakati ya mwaka 2024 hadi 2025, TAKUKURU inatekeleza program ya Takukuru Rafiki kwa kufikia wananchi kwenye kata 20 na kupokea kero 61 na kuzitatua kero hizo kwa uharaka ili zisiwaathiri wananchi.
Amesema mirdi ya maendeleo 26 yenye thamani y ash bilioni 80.2 imefuatiliwa utekelezaji wake na kubainika kuwa na mapungufu machache ambayo wahusika wameshauriwa kuyarekebisha ili  miradi ikaimilike kwa wakati na kwa thamani halisi.

You Might Also Like

Kafulila: Deni La Taifa Ni Himilivu

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

Tanzania, Belarus Zaanza Ukurasa Mpya wa Ushirikiano wa Kimkakati

Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia akisikiliza jambo
Next Article Maeneo ya hifadhi yalindwe na kutunzwa – Rais Samia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?