MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: SIDO jengeni viwanda 20 Kila mkoa-Jafo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > SIDO jengeni viwanda 20 Kila mkoa-Jafo
Habari

SIDO jengeni viwanda 20 Kila mkoa-Jafo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo ameliagiza Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuandaaa mpango  utakaowezesha ujenzi wa Viwanda vidogo  20 Kwa Kila mkoa Kwa kuwa ,jambo hilo litasaidia kupunguza wimbi la ukosefu wa ajira nchini.
Amesema lengo la mpango huo ni kuongeza thamani katika Viwanda na mpango huo uwe na matarajio ya kuzinduliwa kati ya  2025 hadi 2030 Ili kujibu matatizo ya wananchi.
Waziri Dkt. Selemani Jafo amesema hayo Dar es salaam alipotembelea Shirika la SIDO Kwa ajili ya kujitambulisha na kusalimia.
Amesema  katika kupambana na tatizo la ajira nchini, huku vijana wengi wakihitimu masomo yao ni muhimu kwa Shirika Hilo kuhakikisha linawezesha  ujenzi wa viwanda mbalimbali katika  Kila mkoa jambo litakalopunguza tatizo la ajira nchini
“Kila mwaka vijana  zaidi ya 64,000 huhitimu kozi mbalimbali na serikali haiwezi kuajiri wote na eneo  kubwa linalotegemewa ni viwanda na Biashara,” amesema na kulitaka Shirika Hilo kupanga mpango wa miaka sita kuanzia 2025-2030 Ili kuwa na viwanda nchini.
Kadhalika amesema chini ya mpango huo,  kila mwaka na Kila mkoa kuhakikisha viwanda vitatu vyenye Hadhi vinajengwa  na ujenzi wa viwanda  vya kati vipatavyo vitano.
Amesema mpango huo wa ujenzi wa viwanda utasaidia ajira zilizo rasmi na zisizo rasmi.
Waziri Jafo amesema  pamoja na mpango  huo, Kila mkoa uwe na kongani ya kibiashara lengo likiwa ni Kila mkoa kushindana kibiashara.
‘ Katika hili la kongani, watu waangalie mahitaji na  fursa ,zilizopo kwenye maeneo yao,” amesema Jafo na kuongeza kuwa kipindi hiki ni Kwa ajili ya kufungua mikanda na kuwa na mageuzi makubwa kwenye viwanda.
Aidha aliagiza Shirika Hilo kutoa taarifa ya maeneo yote ya wazi wanayo miliki na kubainisha shughuli zinazofanyika na kama yana tija kwa Shirika Hilo na kama sio ushauri utolewe.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa SIDO, Profesa Sylvester Mpanduji amesema  wamejipanga kwenda kutekeleza agizo la ujenzi wa viwanda 20 Kila mkoa na kuwataka wananchi kununua bidhaa zinazozalishwa nchini Ili kukuza viwanda hivyo.

You Might Also Like

Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake

Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa

Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia

Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni

Dkt  Biteko ashiriki  Kikao Cha Mawaziri  wa Nishati  Uganda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article
Next Article TSB yaanzisha ‘special’ Mkonge BBT
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?