MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani: WCF Umeboresha Mifumo Ya Ushughulikiaji Wa Fidia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani: WCF Umeboresha Mifumo Ya Ushughulikiaji Wa Fidia
Habari

Ridhiwani: WCF Umeboresha Mifumo Ya Ushughulikiaji Wa Fidia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amesema serikali inaendelea kutekeleza dhamira ya kuwalinda wafanyakazi ambao ni nguzo muhimu katika maendeleo ya Nchi.
Ridhiwani amesema hayo Jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF),  tangu kuanzishwa kwakwe, ikiwa ni hatua kubwa katika kuimarisha ustawi wa wafanyakazi na familia zao.
Amesema WCF imeongeza wigo wa mafao ambapo hadi sasa unatoa jumla ya mafao saba ikiwemo Fao la Matibabu yasiyo na kikomo, Fao la Ulemavu wa Muda Mfupi, Fao la Ulemavu wa Kudumu, Fao la pensheni kwa wategemezi, Fao la Wasaidizi wa Mgonjwa, Fao la Utengamao na Fao la Msaada wa Mazishi.
Amesema WCF umeboresha mifumo ya ushughulikiaji wa fidia kwa wafanyakazi kwa kutumia mifumo ya TEHAMA ambapo hadi sasa zaidi ya asilimia 90 ya huduma zinazotolewa zinapatikana mtandaoni, hali ambayo imeongeza ufanisi na tija katika utendaji kazi wa mfuko.
Pia amesema mfuko huo umekuwa ukitoa elimu na uhamasishaji kwa waajiri na wafanyakazi kuhusu masuala ya fidia kwa wafanyakazi na usalama kazini, hivyo wafanyakazi wengi kuelewa haki zao pale wanapopata ugonjwa ama ajali zinazotokana na kazi zao.
Kwa upande mwingine Waziri Ridhiwani amesaini kanuni zinazoanzisha fao jipya la Utengamao linalolenga kumsaidia kumrudisha mfanyakazi aliyeumia kazini katika hali ya kuweza kuzalisha na kuendeleza msingi bora wa maisha.
Ridhiwani ameishukuru menejimenti  ya WCF kwa kuishi maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwahakikishia watanzania  kuendelea na uzalishaji hata baada ya kuumia kazini.
Awali akizungumza Mkurugenzi Mkuu wa WCF Dkt. John Mduma amesema mfuko huo umepewa cheti cha ithibati katika utoaji wa huduma bora kwa viwango vya Kimataifa Juni mwaka jana, 2024 hatua inayoongeza imani chanya kwa wadau wote wanaohusika kwenye mnyororo wa fidia kwa wafanyakazi nchini.

You Might Also Like

Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Dodoma Yazizima Wakati Samia, Nchimbi  Wakichukua Fomu Ya Urais

Mwalim: Niko Tayari Kushirikiana na Majaliwa Nikipewa Ridhaa ya Urais

Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MOI Yaokoa Bilioni 150 Matibabu Ya Kibingwa
Next Article MOI Yaeleza Sababu Viungo Bandia Kuuzwa Kwa Bei Kubwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?