MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji
Habari

Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania(TPHPA), kwa kuiwezesha nchi kupata cheti cha kiwango cha kimataifa.
Samia ametoa pongezi hizo wakati akifungua Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma, Jijini Arusha.
“Haya yamewezekana kutokana na kuunganishwa kwaTaasisi ya Utafiti ya Viuatilifu vya Ukanda wa Kitropiki na Kitengo cha Huduma za Afya za Mimea, hivyo malengo yamekusanywa, wamefanya kazi moja, wamejielekeza kwenye ule mlengo waliotakiwa kufanya kazi.
“Sasa Tanzania ina viwango vya ubora vya kimataifa. Ambavyo kupata ubora wa kimataifa umenyanyayua Tanzania kama nchi lakini pia kazi zetu sasa zinaenda kutambuliwa kimataifa.
“Masoko hayatatukimbia ya kimataifa lakini zaidi ya hayo wameweza kukusanya fedha na wanatoa gawio serikalini,” amesema.
Rais Samia amesema hiyo ndiyo faida ya kuchanganya taasisi ambazo hazifanyi vizuri kutokana na malengo kujirudia au kupitwa na wakati.
Amesema mifano aliyoitoa ni mafanikio ya kipindi kifupi cha mamlaka hiyo kuundwa baada ya kuunganishwa zilizokuwepo.
Hivi karibuni kampuni na taasisi zilitoa gawio serikalini ambapo TPHPA ilifanikiwa kutoa sh bilion 3.7.
Maelezo ya Profesa Joseph Ndunguru, gawio hilo la sh 3.7 limeifanya mamlaka hiyo kuwa ya kwanza katika kundi la taasisi zilizotoa gawio kubwa kwa mara ya kwanza.
Profesa Ndunguru amesema awali mamlaka hiyo ilitarajiwa kutoa gawio la sh milion 968, lakini makusanyo ya mwaka wa fedha 2023/ 2024 yamewezesha kufikia kiwango hicho cha sh bilioni 3.7.
Amesema katika mwaka wa fedha 2023/2024 mamlaka hiyo ilikasimua kukusanya kiasi cha fedha cha sh bilion 6.4 mapato ya ndani.
“Lakini kufikia Mei 31 mwaka huu mamlaka imeweza kukusanya sh bilioni 19. 9 ya makadirio ya makusanyo ya mwaka mzima kutoka kwenye vyanzo vyake mbalimbali vya mapato ya ndani,” amesema.
Amesema makusanyo hayo yameweza kuongeza kiasi cha gawio lake kwa serikali kuu kutoka sh milioni 968 hadi kufikia sh bilion 3.7.

You Might Also Like

MOI Yaeleza Sababu Viungo Bandia Kuuzwa Kwa Bei Kubwa

Maabara Ya Mkemia Mkuu Yashauri Wajasiriamali Wa Kemikali

Mpango Kazi Wa Kupambania Haki Za Wenye Ulemavu Kuzinduliwa

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Next Article Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?