MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Dkt Samia Awaaapisha Mawaziri, Awaaagiza Kutumia Rasilimali Za Nchi Kupata Fedha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Dkt Samia Awaaapisha Mawaziri, Awaaagiza Kutumia Rasilimali Za Nchi Kupata Fedha
Habari

Rais Dkt Samia Awaaapisha Mawaziri, Awaaagiza Kutumia Rasilimali Za Nchi Kupata Fedha

Author
By Author
Share
2 Min Read

 

Na Lucy Lyatuu

RAIS Dkt Samia Suluhu Hassan amewaapisha mawaziri  wapya na kuwataka kujitahidi kutumia rasilimali  za  ndani ya nchi ili kupata fedha za kutekeleza miradi.

 

Amesema serikali itahakikisha itafanya  miradi yote wenyewe, hatutasubiri vyanzo vingine vya nje kama vile mikopo, kama ikija itawakuta wanaendelea na kazi.

 

Rais Samia amesema hay oleo Dodoma wakati akiapisha mawaziri wapya na  kuwataka kuhakikisha kuwa majukumu waliyopeana  na viapo walivyoapa ni kwamba wamekubali  kuwatumikia watu, na kauli yao iwe ni Kazi na Utu, hivyo utu uanze na wao kwa kuonesha utu kwa wengine kwa kuwatumikia vema.

 

Amesema kazi yao kuu ni kuwajibika kwa wananchi na nchi  kwa ujumla, wakatekeleze yale yote waliyoahidi kwa wananchi,na kukumbuka kwamba muda walionao ni mchache na mambo ni mengi.

 

“Tujitahidi kutumia rasilimali zetu za humu ndani ili tupate fedha za kutekeleza miradi yetu, tutahakikisha tunafanya miradi yetu yote wenyewe, hatutasubiri vyanzo vingine vya nje kama vile mikopo, kama ikija itatukuta tunaendelea na kazi,” amesema.

 

Amesema ndani ya siku 100 watekeleze na kukamilisha kazi zote walizoahidi kutimiza ndani ya siku hizo na kwamba wakionesha matokeo kwa wananchi na siyo ofisini.

 

Rais Samia amewataka wasiubebe uwaziri kama fahari, bali wafanye kazi kwa maslahi ya Watanzania na kwamba haoni shida kubadilisha viongozi kwani lengo ni kufanya kazi nzuri kwa moyo mkuu na moyo mmoja. Tukawajibike kwa wananchi.

 

You Might Also Like

TUCTA Yaanza Maandalizi Ya Mei Mosi

TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge

Tanzania Na Italy Wasaini Makubaliano Kuongeza Ubora Mafunzo Ya Ukarimu

Samia Aleta Mapinduzi Arusha

TOSCI: Mbegu Bora Ni Ajira, Biashara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia Atangaza Baraza Jipya La Mawaziri
Next Article Amani, Maendeleo Haviwezi Kutenganishwa — Dkt. Nchimbi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa Msongo Wa Kilovolti 400 Chalinze -Dodoma Mbioni Kukamilika
Habari July 29, 2026
Kutoka Wazo Rahisi Hadi Mapinduzi ya Kilimo: Safari ya Rafiki Planter Inayosimulia Miaka 40 ya COSTECH
Makala July 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?