MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC
Habari

Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma
MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema ofisi zote za mkoa huo ziko tayari kushirikiana na vyombo vya utangazaji nchini ili kurahisisha kazi na kuwezesha kazi zenye tija.

Amesema hayo leo katika mkutano wa mwaka wa vyombo vya utangazaji nchini unaofanyikankwa siku mbili katika mkoa wa Dodoma.

Amesema vyombo vya utangazaji vina ushirikiano kuufanya mkoa wa Dodoma kujulikana duniani ikwa kuandika na kutangaza yale mema ili kujulikana jambo litakaloleta maendeleo.

Amesema mkoa wa Dodoma unakua kwa kasi sana, na hilo limewezekana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassab kwani amewekeza kwa kiasi kikubwa kutoa heshima kwa watanzania kwa kuweka miradi mikubwa ya kimkakati ya kimakao makuu katika mkoa huo.

Amewashauri watangazaji kutokaikoabalimbali nchini waliokutana mkoani Dodoma kutembelea maeneo mbalimbali kuona kazi iliyofanywa na Rais Samia.

“Baadhi ya miradi ni iliyotekelezwa na Rais Samia ninpamoja na trenibya kisasa inayotumia umeme ya SGR, ukamilishwaji wa mji wa serikali, pamoja na mengi mengine, ” Amesema.

Amesema mbali ya miradi hiyo leo kuna mahakama ya makao makuu ambayo imekamilika ikiwa na jengo bora kwa Afrika pia ukamilishaji wa Chuo cha Ufundi cha Dodoma , Uwanja wa Ndege ikiwa ni miradi ya miradi ya kimkakati.

You Might Also Like

Wana Dodoma Wakoshwa Na Uboreshaji Mitaala

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 

TUGHE Kujenga Jengo La Bilioni 10, Chawapa Zawadi Wafanya Kazi Hodari Zaidi Ya Bilioni Tatu

Miradi 10 Ya Kimkakati TPA Kuinua Uchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia
Next Article Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?