MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi
Habari

OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Wanasheria Tanzania (TLS) kimesema mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa mashauri kwa njia ya mtandao (OCMS) ni wa muhimu na wenye kuleta usawa na haki kwa wafanyakazi.

Ni mfumo utakaowaondoa watoa maamuzi ya kazi kwenye kutumia njia ya makaratasi katika kufungua mashauri mbalimbali na kwenda kwenye Dunia ya kidigitali zaidi.

Mjumbe wa Baraza la Uongozi Kanda ya Mzizima, Pilinga Panya amesema hayo Dar es Salaam katika mafunzo kwa wadau kuhusu mfumo huo ulioandaliwa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA)

 

Akizungumza amesema mafunzo kuhusu mfumo huo, ni ya muhimu Kwa wadau wa kazi na sheria nchini Kwa ujumla ambayo yatao esha Wanasheria na Wafanyakazi Tanzania namna ambayo CMA imejipambanua kwenda na kasi ya kidigitali.

Amesema kasi hiyo ni ya maendeleo na teknolojia Kwa kuwa mfumo huo ni wa kusimamia na kuendesha kesi Kwa njia ya kidigitali.

” Mfumo ambao mhimili waa Mahakama umeshaanza kuufanyia kazi na Wanasheria wengi wanafungua kesi Kwa mfumo wa kidigitali Mahakamani,’ amesema.

Amesema licha ya Mahakama kutumia mfumo kama huo lakini Kwa watoa usuluhishi na maamuzi walikuwa wanatumia njia ya zamani ya makaratasi na kuzunguka na mafaili Ila Kwa Sasa wamejipambanua kwenda na kasibya dunia.

Amesema mfumo utaleta tija,kupunguza gharama za watu wengi,utaokoa muda na hata kuweka kumbukumbu nzuri za kudumu zinazoweza kupatikana pindi zikihitajika kufanyika marejeleo.

Kwa upande wake Mwanasheria kutoka Taasisi ya Kuzuia Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Belinda Kiswaga amesema ni mfumo Shirikisho wenye kusukuma mashauri ya wafanyakazi na utakuwa wa Wazi kwa wadau wote na haki kupatikana kirahisi.

You Might Also Like

Majaliwa: Serikali Yaanzisha Program Ya Uanagenzi Kwa Vijana

Mgombea Urais wa CHAUMMA Atangaza Mpango wa Kunusuru Kilimo

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Kamati Ya Bunge Ustawi Na Maendeleo Ya Jamii Yaridhishwa Wananchi Wanavyofikiwa

Rais Samia Aridhia Malipo Ya Fidia Barabara Ya Afrika Mashariki

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Next Article Serikali Kuendelea Kutenga Fedha Kwa ajili ya Ukamilishaji wa Maboma ya Vituo vya Afya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?