MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi
Habari

OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Wanasheria Tanzania (TLS) kimesema mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa mashauri kwa njia ya mtandao (OCMS) ni wa muhimu na wenye kuleta usawa na haki kwa wafanyakazi.

Ni mfumo utakaowaondoa watoa maamuzi ya kazi kwenye kutumia njia ya makaratasi katika kufungua mashauri mbalimbali na kwenda kwenye Dunia ya kidigitali zaidi.

Mjumbe wa Baraza la Uongozi Kanda ya Mzizima, Pilinga Panya amesema hayo Dar es Salaam katika mafunzo kwa wadau kuhusu mfumo huo ulioandaliwa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA)

 

Akizungumza amesema mafunzo kuhusu mfumo huo, ni ya muhimu Kwa wadau wa kazi na sheria nchini Kwa ujumla ambayo yatao esha Wanasheria na Wafanyakazi Tanzania namna ambayo CMA imejipambanua kwenda na kasi ya kidigitali.

Amesema kasi hiyo ni ya maendeleo na teknolojia Kwa kuwa mfumo huo ni wa kusimamia na kuendesha kesi Kwa njia ya kidigitali.

” Mfumo ambao mhimili waa Mahakama umeshaanza kuufanyia kazi na Wanasheria wengi wanafungua kesi Kwa mfumo wa kidigitali Mahakamani,’ amesema.

Amesema licha ya Mahakama kutumia mfumo kama huo lakini Kwa watoa usuluhishi na maamuzi walikuwa wanatumia njia ya zamani ya makaratasi na kuzunguka na mafaili Ila Kwa Sasa wamejipambanua kwenda na kasibya dunia.

Amesema mfumo utaleta tija,kupunguza gharama za watu wengi,utaokoa muda na hata kuweka kumbukumbu nzuri za kudumu zinazoweza kupatikana pindi zikihitajika kufanyika marejeleo.

Kwa upande wake Mwanasheria kutoka Taasisi ya Kuzuia Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Belinda Kiswaga amesema ni mfumo Shirikisho wenye kusukuma mashauri ya wafanyakazi na utakuwa wa Wazi kwa wadau wote na haki kupatikana kirahisi.

You Might Also Like

Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima

Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri

Ridhiwan Kikwete awaagiza maofisa kazi kushirikiana na WCF

Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika

Profesa Kabudi Atoa Maagizo Mazito Bodi Ya Ithibati Ya Waandishi Wa Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Next Article Serikali Kuendelea Kutenga Fedha Kwa ajili ya Ukamilishaji wa Maboma ya Vituo vya Afya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?