MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: NIT yawapika vijana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > NIT yawapika vijana
Habari

NIT yawapika vijana

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
WANAFUNZI kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), wamefika katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wafanyabiashara, wakiwa na teknolojia za kilimo na ufugaji.
Teknolojia hizo zinamrahisishia
 mkulima kutumia nyenzo rahisi za uchakataji mazao.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda la Chuo hicho,Mwalimu aliyeambatana na wanafunzi waliotengeneza bunifu hizo Kelvin Odhiambo amesema, wamekwenda na wanafunzi wao ili kuonesha bunifu wanazotengeneza kwa sababu zinawahusu na zinaweza kuwasaidia wakulima.
Amesema, wanafunzi hao wametengeneza mashine za kuchakata vyakula mbalimbali , mashine ya kusambaza mbolea na mashine ya kufugia vifaranga vikiwa bado vidogo.
Amewaasa vijana na wananchi kwa ujumla wenye sifa kujiunga na chuo hicho ili waweze kupata ujuzi wa bunifu mbalinbali.
“Tayari NIT imefungua dirisha la usaili kwa ngazi ya stashahada na shahada ,waliomaliza kidato cha nne na cha sita wanakaribishwa kujiunga na chuo hicho.”amesema Mhandisi Odhiambo
Mwanafunzi wa chuo hicho George Valentine amesema ametengeneza mashine ya kufugia vifaranga vya kuku mara baada ya kutotolewa ili viweze kuwa salama dhidi ya ndege na wanyama kama paka,panya na mbwa.
“Mashine hii ni nzuri kwa kufugia vifaranga,baada ya kuzaliwa na kupewa chanjo,vifaranga vinatunzwa katika mashine hii na vinakuwa salama dhidi ya panya,ndege na wanyama wanaokula vifaranga lakini pia vinapata joto linalohitajika pamoja na chakula na maji kwa wakati unaohitajika.”amesema George
Amesema mashine hiyo kutoa taarifa pale chakula na maji vinapopungua.
Naye Omary Athumani mwanafunzi wa chuo hicho amesema amekuja na mashine ya kuchanganya chakula cha mifugo ambayo kukoboa na kusaga kwa wakati mmoja na mashine ya kutengeneza siagi na kutoa mafuta kwa wakati mmoja.
“Mashine hii ina uwezo wa kutengeneza bidhaa husika kwa kilo 100 kwa saa moja.”
Amesema,ametengeneza mashine hizo ili kumsaidia mkulima dhidi ya mazingira magumu ambayo anapitia kwani kupitia mashine hiyo mkulima anaweza kuchakata mazao yake na kuuza mazao yaliyochaktwa na kupata faida badala ya kuuza mazao ghafi.

You Might Also Like

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy

Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kilele Kongamano la TEHAMA

Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jisajilini mapema mpate mbolea ya ruzuku
Next Article Shemdoe apongeza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?