MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15
Habari

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: BOHARI kuu ya dawa (MSD)  imesema kipindi cha Julai mwaka jana 2024 mpaka sasa  imeokoa kiasi cha Sh.  Milioni 15.8 kutokana na kubana matumizi yasiyokuwa ya lazima.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Bohari ya Dawa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 19, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Pamoja kuokoa fedha ambazo zilikuwa katika mfumo wa matumizi yasiyokuwa ya lazima pia mfumo wa matumizi ya TEHAMA umesaidia kudhibiti upoteaji wa dawa na vifaa tiba au udanganyifu ambao ulikuwa ukijitokeza.
Amesema.kuwa kwa kipindi cha miaka  minne MSD imefanikisha kupeleka dawa na vifaa tiba katika vituo vyote vya afya nchini na kwa wakati jambo ambalo halijawahi kutokea kwa miaka ya nyuma.
Ameongeza kuwa kwa sasa nchini kuna vifaa vya kisasa vya kuchuja damu na kwa kuwa na vifaa hivyo imepunguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya fedha ambazo zingetumia kwa ajili ya matibabu ya nchi.

You Might Also Like

Zuhura Yunus Atoa Neno Kwa Madereva 

Umwagiliaji kumwezesha mkulima kulima mara mbili mpaka tatu kwa mwaka

Ndejembi Akabidhiwa Ofisi Na Dkt. Biteko Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu Na Waziri Wa Nishati

VETA kushirikiana na Toyota Tanzania kuboresha mafunzo ya ufundi magari

Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa
Next Article Madaktari Bingwa, Wauguzi Wabobevu Wa Mama Samia Watoa Mafunzo Ya Huduma Kwa Mama Na Mtoto, Hospitali Ya Wilaya Ya Singida
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?