MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15
Habari

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: BOHARI kuu ya dawa (MSD)  imesema kipindi cha Julai mwaka jana 2024 mpaka sasa  imeokoa kiasi cha Sh.  Milioni 15.8 kutokana na kubana matumizi yasiyokuwa ya lazima.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Bohari ya Dawa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 19, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Pamoja kuokoa fedha ambazo zilikuwa katika mfumo wa matumizi yasiyokuwa ya lazima pia mfumo wa matumizi ya TEHAMA umesaidia kudhibiti upoteaji wa dawa na vifaa tiba au udanganyifu ambao ulikuwa ukijitokeza.
Amesema.kuwa kwa kipindi cha miaka  minne MSD imefanikisha kupeleka dawa na vifaa tiba katika vituo vyote vya afya nchini na kwa wakati jambo ambalo halijawahi kutokea kwa miaka ya nyuma.
Ameongeza kuwa kwa sasa nchini kuna vifaa vya kisasa vya kuchuja damu na kwa kuwa na vifaa hivyo imepunguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya fedha ambazo zingetumia kwa ajili ya matibabu ya nchi.

You Might Also Like

Waziri Ridhiwani: Vyama Vya Wafanyakazi, Nguzo Ya Mahusiano Mema Mahali Pa Kazi

Spika Ahoji Mwongozo Wa Wanaojitolea Kazin

Tanzania, Ufini Kushirikiana Teknolojia Za Kisasa Sekta ya Misitu

Dkt. Tumbo Aitaka Jamii Kuelimishwa Namna Bora Ya Kuhifadhi Taka

Rais Samia akisikiliza jambo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mfumo Wa Kuwabana Wachafuzi Wa Choo umetengenezwa
Next Article Madaktari Bingwa, Wauguzi Wabobevu Wa Mama Samia Watoa Mafunzo Ya Huduma Kwa Mama Na Mtoto, Hospitali Ya Wilaya Ya Singida
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?