MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa
Habari

Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
PWANI: KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Hery Mkunda amesema kwamba wamekusudia kuongeza wanachama zaidi ili wawe na sauti kubwa, kwani hivi sasa wapo wamefikia 45,000.
Mkunda ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA), amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi Tanzania.
Katibu Mkuu huyo pia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Afrika Mashariki, pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Duniani amesema, Tughe mwaka huu imedhamiria inaboresha mafunzo kwa wanachama wake.
“Lakini pia kuhakikisha tunaendelea kuwahudumia wanachama wetu. Huduma kwa wanachama zipo nyingi, moja ni kuwawakilisha wanapokuwa na matatizo mbalimbali kwa waajiri wao.
“Pia kwa kupitia mabaraza ya wafanyakazi kuhakikisha wanapata nafasi ya kushirikishwa vizuri. Kuhakikisha kuna bajeti kwenye mabaraza nako wafanye vikao mara mbili,” amesema.
Ameongeza kuwa, pia kuwapigania kuhusu maslahi yao na kutolea mfano suala la motisha kwa wafanyakazi.
Amesema Tughe imekuwa ikiwakilisha kwenye masuala ya kinidhamu, au mfanyakazi anapopatwa na kesi mbalimbali mahakamani.

You Might Also Like

Biteko Atoa Somo Uzalishaji Matumizi ya NIishati Afrika

TTCL Yafanya Maboresho Makubwa Kwa Watumiaji

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita

Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio

Mwenda: Tupo kwa ajili ya kuzitatua changamoto za wananchi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio
Next Article TUGHE Kujenga Jengo La Bilioni 10, Chawapa Zawadi Wafanya Kazi Hodari Zaidi Ya Bilioni Tatu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Fema Mining & Drilling Mfano wa Kuigwa – Musukuma
Habari September 23, 2025
Mgodi Wa Dhahabu Wa Nyanzaga Kunufaisha Wananchi, Ujenzi Wazidi Kupaa
Habari September 23, 2025
Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Habari September 23, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?