MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali
Habari

Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu David Cleopa Msuya kilichotokea leo Mei saba,  2025.
Aidha amesema taarifa zaidi ya Mipango kamili ya msiba itaendelea kutolewa na Serikali.
Samia amesema Msuya amefariki katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo.
Kutokana na msiba huo, Rais Samia ametangaza siku saba za maombolezo ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia leo Mei saba hadi 13, 2025.
Rais Samia anawapa pole ndugu, jamaa na watanzania wote kwa msiba huu.

You Might Also Like

OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Wadau wa Kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua msimu 2024/25

REA Yatoa Milioni 38.2 kwa ajili ya kufungwa mfumo wa nishati safi, Shule ya Samia

Biashara kidijitali inawezekana soko huru la Afrika

SPIKA asisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Kukarabati Vituo Vyote Vya Kutolea Huduma Za Afya Kongwe
Next Article Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
Nyamhokya Atoa Wito kwa Wanawake Kusimama Imara Kiuchumi
Habari March 7, 2026
Balozi Seokolo Atoa Wito Kuimarisha Biashara na Viwanda Kanda ya SADC
Habari March 7, 2026
Mkunda: Wanawake Wapewe Nafasi Katika Uongozi wa Vyama vya Wafanyakazi
Habari March 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?