MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi
Habari

Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: SERIKALI imeshauriwa kuangalia namna ya kuwepo kwa miongozo kwa ajili ya wagunduzi wa teknolojia mbalimbali.
Ushauri huo umetolewa na Mbunifu Ernest Maranya  kutoka Taasisi ya Elimu ya Mafunzo ya Ufundi  Stadi nchini (VETA),  wakati wa kongamano la  Kisayansi linalofanyika jijini Das Salaam lililoandaliwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH),.
Amesema ili kuhakikisha wagunduzi na wabunifu wanaeleweka kisheria kuna kila sababu ya wadau wa elimu kuhakikisha inakuwa na muongozo kwa ajili ya wabunifu.
Kwa upande mwingine, Maranya amebuni kifaa kinachotoa elimu ya anga kwa kusema kuwa  ipo haja kwa Serikali kuangalia namna ya kuharakisha elimu ya anga kwa kutumia mfumo unaofanya kazi zaidi ambao utatumika shule zote.
Ameiomba serikali na wadau wa elimu nchini kumuunga mkono katika kufanikisha ubunifu anaoufanya.
Amesema pamoja na kugundua mfumo huo bado haujaanza kutumika mashuleni.

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Yakagua Mradi Wa Nyumba NSSF

Wananchi Washauriwa Kujiunga Na Chuo Cha Ualimu Na Ufundi Stadi Morogoro

Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani

Watanzania Acheni Kuchanganya Mazao -Jafo

Manyara Kusambaza Mitungi 16,275 ya Gesi kwa Bei ya Ruzuku

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Yatafiti Dawa Ya UTI, Fangasi
Next Article Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?