MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva
Habari

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

ARUSHA: MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imetakiwa kuhakikisha kitufe cha utambuzi wa dereva kinasaidia kudhibiti ajali nchini.

Kitufe hicho cha utambuzi wanapatiwa madereva waliothibitishwa na mamlaka hiyo kwa lengo la kudhibiti ajali.

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa aliiagiza mamlaka hiyo hivi karibuni alipotembelea banda la LATRA, kwenye maonesho ya sehemu ya Mkutano wa 17 wa Mwaka wa Kutathmini Utendaji Kazi wa sekta ya uchukuzi mkoani Arusha.

“Ni muhimu mhakikishe dereva anakitumia kwa usahihi kitufe chake na inapaswa kitufe kiwe kinawatumia taarifa pindi dereva anapoendesha zaidi ya muda unaotakiwa ambao ni saa nane kwa mujibu wa Sheria zilizopo ili mchukue hatua,”amesema.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo amesema mamlaka hiyo inawathibitisha madereva wa vyombo vya moto kibiashara ili kuhakikisha kunakuwa na madereva wenye uweledi na wanaozifahamu Sheria, Kanuni na Taratibu za usafiri ardhini.

“Tukiwa na madereva wenye uweledi, nayo itasaidia kupunguza tatizo la ajali, kwa sasa tunawasajili na kuwathibitisha kimtandao kupitia mfumo wa kuwatahini madereva DTS, na wale wanaofaulu tunawapatia vyeti na kitufe cha i-button ambacho wanakitumia mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari yao, na sisi tunafuatilia kwa ukaribu matumizi sahihi ya kifaa hicho,” amesema.

Akielezea changamoto kubwa inayowakabili madereva kwa sasa, amesema ni uchovu, hivyo LATRA inaamini ikipata msukumo wa Serikali wa kuwaagiza madereva wote lazima wathibitishwe na watumie vitufe vya utambuzi, itasaidia katika kudhibiti ajali zinazogharimu nguvu kazi ya Taifa na maisha ya Watanzania kwa jumla.

 

 

You Might Also Like

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Wanawake Jijini Arusha

Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa

Kumekucha Uzinduzi wa Washirika wa Tamasha, Tuzo Za Filamu Tanzania 2025

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Miradi Ufungaji Mifumo Ya Umeme Jua 20,000 Mbioni Kuanza
Next Article Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?