MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Majaliwa: Jiungeni NHIF Kupata Matibabu Ya Uhakika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Majaliwa: Jiungeni NHIF Kupata Matibabu Ya Uhakika
Habari

Majaliwa: Jiungeni NHIF Kupata Matibabu Ya Uhakika

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBEYA: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za matibabu.
Akizungumza leo jijini Mbeya alipotembelea banda la NHIF katika Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa, Waziri Mkuu amesema uwepo wa mfuko huo kwenye maonyesho hayo ni wa msingi kwa kuwa unawafikia vijana wengi.
Habari Picha 9847
“Ni muhimu wananchi wakajiunga na NHIF ili wawe na uhakika wa matibabu kabla ya kuugua. Sekta ya afya ni ya kipaumbele, ndiyo maana Serikali imeweka bima ya afya kwa wote,” amesema.
Aidha, ameutaka mfuko huo kuendeleza jitihada za kutoa elimu na kuhamasisha makundi mbalimbali kama waendesha bodaboda, bajaji, wafanyabiashara na vijana kwa ujumla kujiunga na bima hiyo.
Kwa upande wake, Meneja wa NHIF Mkoa wa Mbeya, Dkt. Eliud Kilimba, amesema lengo la ushiriki wao kwenye maonyesho ni kutoa elimu kwa vijana na wananchi kuhusu faida za kujiunga na mfuko huo.
Habari Picha 9848
“Tupo hapa kutoa elimu kuhusu NHIF na kumuwezesha mtu kujiunga moja kwa moja hapa uwanjani. Tunasisitiza umuhimu wa kuwa na bima kabla ya kuugua,” amesema Dkt. Kilimba.
Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yanaendelea jijini Mbeya, yakilenga kuwajengea vijana uelewa katika nyanja mbalimbali za kijamii na kiuchumi.

You Might Also Like

Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi

Rais Samia aweka Jiwe la Msingi kwenye mradi wa Suluhu Sports Academy

Dhibitini Magonjwa ya Mlipuko-Mchengerwa

MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani

TSB yaanzisha ‘special’ Mkonge BBT

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maganga Atembelea Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu, Maonesho Ya Wiki Ya Vijana Mbeya
Next Article Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?