MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 
Habari

Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka ameitaka Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kuongeza kasi ya kufanya tafiti za aina nyingine za Chanjo za Mifugo ambazo hazijaanza kuzalishwa ili kukidhi mahitaji ya wafugaji nchini.
Dkt. Kusiluka ameyasema hayo alipotemblea banda la TVLA akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Riziki Shemdoe lililopo kwenye banda jumuishi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane).
“Nimefurahishwa na kazi mnayoifanya kama Wakala, endeleeni kufanya tafiti za Chanjo nyingine za magonjwa ya Mifugo ambazo hamjaanza kuzalisha ili kukinga Mifugo na magonjwa ambayo yana athari kubwa kwenye ustawi wa Mifugo nchini,” amesema.
Akitoa maelezo kuhusiana na uzalishaji wa chanjo zinazozalishwa na TVLA, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Riziki Shemdoe alisema kuwa TVLA ndio Taasisi pekee ya Serikali inayozalisha chanjo za Mifugo nchini.
Wizara imeomba fedha kwa ajili ya kuendesha kampeni ya uchanjaji mifugo nchini, Chanjo za TVLA ndio zitakazotumika kwenye zoezi hilo muhimu. Chanjo ambazo hazizalishwi na TVLA zitaagizwa kutoka kwa wazalishaji wengine,” amesema.
Aina saba za chanjo zinazozalishwa na TVLA ni pamoja na Chanjo ya Kideri au Mdondo kwa kuku (TEMEVAC), Chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ng’ombe (CBPP), Chanjo ya Homa ya Mapafu ya Mbuzi (CCPP), Chanjo ya Kimeta (Anthrax), Chanjo ya Chambavu (Blackquarter), Chanjo ya Kimeta na Chambavu (Tecoblax) na Chanjo ya Kutupa Mimba (Brucellosis).
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka amepata maelezo kuhusina na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA zikiwemo uchunguzi na utambuzi wa magonjwa ya Mifugo, Uzalishaji na Usambazaji wa Chanjo za Mifugo, Uhakiki wa ubora wa vyakula vya Mifugo, Usajili na uhakiki wa ubora wa Viuatilifu vya Mifugo, utafiti wa magonjwa ya Wanyama pamoja na huduma ya ushauri na Mafunzo.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete atembelea kituo cha kulelea watoto

Vitongoji 1997  Vimepatiwa Huduma Ya Umeme, Kilimanjaro  

Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao

Serikali  Kuja Na Mradi  Wa Kuimarisha Upatikanaji Umeme Vitongojini- Kapinga 

Serikali Sekta Binafsi Kuimarisha Huduma Za Fedha Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Mwinyi adhamiria kusimamia ubora wa bidhaa
Next Article Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?