MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu
Habari

Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: HUDUMA ya Kanisa la Gospel Christ Church (GCC) Tanzania, limeanzisha maombi maalumu kwa ajili ya kuliombea Taifa pamoja na kuombea uchaguzi mkuu wa Madiwani,wabunge na Rais.
Maombi hayo yataanza Kesho Februari 21, 2025 eneo la Mbondole Ilala Jijini Dar es Salaam.
Askofu Mkuu wa kanisa hilo Dkt.Daudi Chidawali amesema maombi hayo ni  kuhakikisha Taifa linaombewa na linakuwa na utulivu.
Chidawali ameeleza kwa sasa taifa linajiandaa kuingia katika uchaguzi mkuu hivyo ni wajibu wa kanisa kufanya maombi ili kuhakikisha wanapatikana watu ambao wana nia njema ya kuwasaidia watanzania na kutokuwa na ubinafsi.
Amesema maombi ni muhimu kwani ni agizo la Mungu na maandiko yanaeleza wazi kuwa haki uliinua Taifa na haki haiwezi kupatikana kama hayajafanyika maombi ya kuwapata viongozi wenye hofu ya Mungu.
“Tunatakiwa kuelewa kuwa ili kuwa na nchi yenye utulivu ni lazima kuwa na viongozi wacha Mungu na wenye hofu ya Mungu,tunatakiwa kuwachagua watu ambao ni mapenzi ya Mungu kuwa viongozi na siyo kuwa viongozi kwa sababu ya rushwa au vitisho.
“Tunatambua kuwa nchi yetu ambayo inaongozwa na Rais Samia Suluhu Hasani imefanya mambo mengi ya maendeleo kwa kipindi cha miaka minne hivyo tunapoelekea kwenye uchaguzi tunahitaji kupata viongozi ambao wanatambua juhudi zinazofanywa na viongozi na wakati mwingine kuziendeleza.
“Na hilo litatokana na maombi ya watakatifu,hatuwezi kuwaacha wanasiasa wapambane wenyewe kupinga rushwa au dhuluma kinachotakiwa ni nguvu ya Mungu pekee kufanya kazi na hayo yote yanapatikana kwa maombi tu,” amesema.

You Might Also Like

Watafiti Wa Mimea Vamizi Watua Serengeti

Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF

Jaffo Aagiza Kufufuliwa Vilivyokuwa Viwanda Vya Serikali

Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi

JOWUTA Yataka Sheria Za Kazi Kuwalinda Wafanyakazi Katika Vyombo Vya Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Trilioni 1.3  Zatumika Kuboresha Afya Ya Msingi Nchini
Next Article OUT Yasaini Mkataba Ujenzi Wa Maabara Tatu Za Sayansi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?