MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM
Habari

Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC), imetoa vitabu 200 kwa maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo ya CCCC, Li Xuecai amesema wametoa msaada huo wa vitabu ikiwa ni mara ya pili sasa, mara ya kwanza ilikuwa mwaka jana.
Xuecai amesema utoaji huo wa vitabu hivyo chuoni hapo ni daraja la kuimarisha uhusiano kati ya China na Tanzania, pia ni sehemu ya kubadilishana utamduni baina ya nchi hizo mbili.
“Nashukuru kufikia tukio la kugawa vitabu kwa mara ya pili, mwaka jana pia tuligawa vitabu katika maktaba hii,” amesema,
Naye Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Maktaba chuoni hapo, Dkt. Collins Kimaryo ameshukuru kwa msaada huo na kusema vitabu walivyopokea ni vya sanaa, historia, sayansi na teknolojia.
” Vitabu vinagusa sanaa, historia, sayansi na teknolojia. Vinatufaa maana kazi za msingi ni kutoa huduma za machapisho mbalimbali.
” Vitabu tunavyopokea vitaongeza maarifa kwa wanafunzi, vitaongeza aina za majarida tuliyonayo, pia kuonyesha ushirikiano baina ya China na Tanzania, pia Chuo Kikuu na Kampuni hiyo,” amesema.
Kwa upande mwingine Mkurugenzi Mtanzania Taasisi ya Confucius, Profesa Aldin Mutembei ameishukuru kampuni hiyo kwa kutoa nakala hizo 200 chuoni hapo.
Amesema katika maktaba hiyo wanaendelea kujenga utamaduni baina ya Tanzania na China, pia kueleza watanzania namna gani nchi ya China inaendelea.
Mutembei amesema katika maktaba hiyo kuna vitabu
Vinavyozungumzia utawala na mawazo ya China, ameongeza usomaji wa vitabu unasaidia kuchagiza afya.

You Might Also Like

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji

Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu

Rais Samia Ameweka Alama Kwa Watumishi Wa Magereza Arusha,Awagawia Mitungi 528

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TANESCO Tunathamini Wadau Wa Maendeleo- Nyamo-Hanga
Next Article Wananchi Waendelee Kupewe Elimu Kuhusu Bioteknolojia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
Zimbabwe Yakabidhi Uenyekiti Kwa Madagascar
Habari August 7, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?