MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu
Habari

Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Mwandishi Wetu

WIZARA ya Maliasili na Utalii imeendelea kutekeleza maagizo ya Rais  Dkt. Samia Suluhu Hassan yaliyotoka na maoni ya Tume ya Haki Jinai ya kuboresha Jeshi la Uhifadhi kwa kutoa mafunzo ili liweze kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia misingi ya sheria na haki za binadamu.

Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi, Benedict Wakulyamba ametoa  mafunzo hayo kwa askari  kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Shirika la  Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wa mikoa ya Simiyu na Mara.

Amewaeleza askari hao kwamba Taifa lina imani kubwa nao katika ulinzi na usimamizi wa maliasili nchini, hivyo ni vyema wakaitunza tunu hiyo ambayo imetokana na imani ya wananchi kwao.

Aidha,  Wakulyamba amewataka askari hao kujiepusha na vitendo viovu kazini, hususan rushwa na kuwabambikia wananchi matukio ya uongo, huku akiwashauri kujenga mahusiano mazuri miongoni mwao pamoja na jamii inayowazunguka..

Ameongeza kuwa katika kuimarisha Jeshi la Uhifadhi hapa nchini, Wizara inaendelea kushirikiana na vyombo vingine vya usalama, likiwemo Jeshi la Polisi na Jeshi la Wananchi ili kulijengea uwezo wa kiutendaji.

“Tumeanza kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuwafundisha askari wetu juu ya kuzingatia kanuni za Haki Jinai katika kutekeleza majukumu yao. Kanuni hizo ni pamoja na ukamataji salama, kuheshimu utu wa binadamu, sheria za upekuzi na kuhodhi mali za uhalifu kisheria,: alisema  Wakulyamba na kuongeza.

“Ikiwa ni sehemu ya maoni ya Tume ya Haki Jinai, Jeshi la Uhifadhi litaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kuwa linauzoefu katika masuala ya utendaji kazi ikiwemo upelelezi na kudhibiti ghasia za kijamii  kwa mbinu salama zenye kuzingatia misingi ya haki za binadamu, hivyo utaalam wake na uzoefu ni muhimu kwa ustawi wa sekta ya Maliasili na Utalii,”.

Kadhalika amewaagiza maofisa wa Jeshi hilo kusimamia vyema nidhamu na uadilifu kwa askari wa Jeshi hilo, kwani madhara yanayotokana na utendaji mbovu wa baadhi ya askari hayatakuwa na athari tu kwa maisha yao na familia zao, bali pia yataathiri sifa njema ya taasisi na Taifa kwa ujumla.

Mbali   ya kutoa mafunzo kwa askari hao, ametembelea na kukagua shughuli za uhifadhi katika mapori ya akiba ya Ikorongo/Grumet chini ya TAWA, na hifadhi ya Taifa ya Serengeti iliyopo chini ya TANAPA.

ReplyForward

Add reaction

You Might Also Like

Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

CMSA Yatoa Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi na Wakulima Nanenane

Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe

Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC

SIDO jengeni viwanda 20 Kila mkoa-Jafo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Masauni Akabidhi Polisi Magari 77
Next Article Biteko Akaribisha Wawekezaji Sekta Ya Nishati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?