MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Habari

Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi limemkamata na kumhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuhusu binti aliyefanyiwa vitendo vya udhalilishaji.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi, Muliro Jumanne amesema hay oleo Dar es Salaam na kuongeza kuwa taarifa hizo ni kuwa binti anayedaiwa kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwa kubakwa na kulawitiwa amekutwa amefariki suala ambalo sio kweli.

Amesema taarifa za binti huyo kufanyiwa vitendo hivyo zilitolewa mitandaoni hivi karibuni Agost 2024.

Kamanda Muliro amesema Jeshi hilo linatoa wito watu kujiepusha na kutoa au kuchapisha taarifa za uongo zenye malengo ya kuzusha taharuki katika jamii kwani kufanya hivyo ni makosa.

Amesema pia Jeshi hilo litaendelea kuzingatia maoni ya watu ambayo hayakinzani na sheria za nchi.

You Might Also Like

Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi

Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike

Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkuu wa Mkoa akabidhi matrekta kwa wakulima kutoka Pass Leasing
Next Article Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?