MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Habari

Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

Dar es Salaam: JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuelekea mchezo wa soka wa watani wa jadi baina ya klabu ya Yanga na Simba limejipanga kuchukua tahadhari zote za kiusalama kabla, wakati na baada ya mchezo huo.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi, Muliro Jumanne amesema hayo jana Dar es Salaam na kuongeza kuwa kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam kutakuwa na mchezo huo wa soka wa watani wa jadi baina ya klabu ya Yanga na Simba utaanzia saa 1:00 jioni.

Amesema usalama utaimarishwa kwa kiwango cha juu na kwamba Jeshi linawakumbusha kuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kwenda na silaha uwanjani isipokuwa vyombo vya dola vyenye jukumu la usalama eneo hilo.

Kamanda Muliro amesema watu watakaojihusisha na vitendo vya kihalifu ndani au nje ya uwanja watashughulikiwa haraka kwa mujibu wa sheria.

You Might Also Like

 Rais Samia aipongeza REA

BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi

Madaktari Bingwa, Wauguzi Wabobevu Wa Mama Samia Watoa Mafunzo Ya Huduma Kwa Mama Na Mtoto, Hospitali Ya Wilaya Ya Singida

Serikali yatambua deni la Kiwira Coal Mine Bill.1.52

Kasi Ya Kusambaza Umeme Kwenye Vitongoji Yaanza-Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Next Article CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?