MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Habari

Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

Dar es Salaam: JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuelekea mchezo wa soka wa watani wa jadi baina ya klabu ya Yanga na Simba limejipanga kuchukua tahadhari zote za kiusalama kabla, wakati na baada ya mchezo huo.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi, Muliro Jumanne amesema hayo jana Dar es Salaam na kuongeza kuwa kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam kutakuwa na mchezo huo wa soka wa watani wa jadi baina ya klabu ya Yanga na Simba utaanzia saa 1:00 jioni.

Amesema usalama utaimarishwa kwa kiwango cha juu na kwamba Jeshi linawakumbusha kuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kwenda na silaha uwanjani isipokuwa vyombo vya dola vyenye jukumu la usalama eneo hilo.

Kamanda Muliro amesema watu watakaojihusisha na vitendo vya kihalifu ndani au nje ya uwanja watashughulikiwa haraka kwa mujibu wa sheria.

You Might Also Like

Jeshi la Uhifadhi watakiwa kuzingatia mafunzo – Wakulyamba

LATRA CCC Yatoa Angalizo Uhitaji Mkubwa Wa Wasafiri Mwisho Wa Mwaka

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Ruto: Diplomasia Itumike Kumaliza Mgogoro Kongo

Kamati Ya Bunge Yapongeza Usimikaji Mfumo Wa Kidijitali CMA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Next Article CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?