MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama
Habari

Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WAZIRI ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Stergomena Tax amesema wamehakikisha tunu za Taifa yaani amani, ulinzi na usalama zinalindwa kwa kuimarisha umoja, mshikamano na utulivu nchini
Amesema hayo alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya wizara hiyo kwa Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO Jijini Dodoma.
Amesema pia wizara hiyo  imeendelea kuliimarisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kuliongezea bajeti, hivyo kuongeza uwezo wa kimedani kwa kulipatia vifaa, zana za kisasa na kuwezesha mafunzo na mazoezi.
Vile vile serikali  imeweza kugharamia ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu mbalimbali, kwa sasa, wizara inaendelea kukamilisha ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa – MMUT (Kikombo-Dodoma) unaogharamiwa na Serikali na kutekelezwa na wataalam wa ndani ambapo ujenzi huo umefikia asilimia  93.5.
“Aidha JWTZ imeendelea na ujenzi wa Hospitali kuu ya Kanda Dodoma yenye hadhi ya Daraja la nne inayojengwa katika eneo la Msalato katika Jiji la Dodoma kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani,  Ujenzi wa Hosteli za Chuo cha Taifa cha Ulinzi (Kunduchi, Dar es Salaam),
“Kujenga makazi ya wakufunzi na waalimu waelekezi wa Chuo cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti, mkoani Arusha, ujenzi wa kapera Hospitali Kuu ya Jeshi – Mwanza na Chuo cha TMA – Arusha na ujenzi wa Makao Makuu ya Kamandi ya Jeshi la Akiba mkoani Singida,” amesema
Mafanikio mengine hali ya ulinzi na usalama wa mipaka kuwa salama.
“Wizara kupitia JWTZ, imeendelea kulinda Amani, kulinda mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuhakikisha kuwa mipaka ya nchi yetu, ipo salama.
“JWTZ kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Usalama linaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya vitendo vyote vyenye viashiria vya uvunjifu wa amani, na Taifa letu ni salama na lenye utulivu na amani,” amesema
Ametaja mafanikio mengine kuwa ni kuwapa vijana wa kitanzania mafunzo ya awali ya kijeshi na stadi za kazi, kuendeleza tafiti na uwahulishaji wa Teknolojia.

You Might Also Like

Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida

Wizara Ya Kilimo Yajipanga Vema Maonesho ya Kimataifa Ya Biashara

OSHA Yatoa Gawio Kwa Serikali Zaidi  Ya Bilioni 10

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

Majaliwa Aomba Watanzania Wapatiwe Mafunzo Belarus Kuendeleza Kilimo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ulega Ataka Ushirikiano Miradi Ya Kimkakati Ikamilike Kwa Wakati
Next Article JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?