MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dendego Achangisha Bilioni 1.7, Ujenzi Ofisi Ya CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dendego Achangisha Bilioni 1.7, Ujenzi Ofisi Ya CCM
Habari

Dendego Achangisha Bilioni 1.7, Ujenzi Ofisi Ya CCM

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
SINGIDA: JUMLA ya Sh. Bilioni 1.7 zimepatikana kutokana na harambee iliyofanywa kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya CCM Mkoa.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego ameeleza kwamba amefanikisha upatikanaji wa fedha hizo kwa kupata Sh. 1.69 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.
Amesema kiasi hicho cha fedha ni asilimia 116 ya lengo lililokusudiwa la upatikanaji wa Sh. Bilioni 1.4.
“Nimeamua kuchukua hatua hiyo ya kuendesha harambee kwa ajili ya ukamilishaji wa ujenzi wa ofisi hii, kutokana na kuchukua muda mrefu bila kukamilika ” amesema.
Wakati wa harambee hiyo, Dendego amesema jengo hilo ambalo ni la CCM lilianza kujengwa zaidi ya miaka 40 iliyopita na mzazi wake Makamu wa Rais Mteule, Emmanuel Nchimbi lakini halikukamilika ilhali likitoa viongozi mbalimbali wa chama na Serikali.
“Naomba kukueleza mheshimiwa Makamu wa Rais Mteule na Katibu Mkuu wa CCM jengo la CCM Singida lilianzishwa mwaka 1985 na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Singida wakati huo, John Nchimbi na limeendelea kujengwa kidogo kidogo lakini mpaka sasa halijaisha wala kukamilika.
“Wakati huo bado jengo hilo licha ya kutokamilika linatoa viongozi wa serikali na Chama,na sasa wewe Umekuwa Balozi na Katibu Mkuu wa Chama na hatimaye makamu wa rais Mteule kwa maana hiyo mimi na kamati yangu tuliona tuanzishe harambee kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hii ya Chama,” amesema.
Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Martha Mlata amesema  ujenzi wa ofisi hiyo ni muhimu kwa afya ya chama kwani likikamilika litachochea maendeleo kwa chama na kuendelea kuzalisha wana CCM kwa wingi.
Wakati wa kutangaza Matokeo ya harambee iliyochangishwa Balozi Dk.Nchimbi amesema kuwa katika kuunga mkono juhudi ya ujenzi huo Mwenyekiti wa CCM taifa ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassan,  amechangia Sh Milioni 50.

You Might Also Like

Wataalamu wa Tanzania, Kenya Watoa Ufafanuzi Kuhusu Maana Na Matarajio Ya Jumuiya Ya China, Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja

Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika

Samia akisalimiana na Rais wa China

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

MAIPAC Yagawa Bure  Majiko Ya Gesi Monduli, Lowassa Apongeza.             

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Inatoa Kipaumbele Kufikisha Umeme Taasis Zinazotoa Huduma Kwa Jamii- Kapinga
Next Article Serikali Yaeleza Mikakati Ya Kuwezesha Vijana Katika Soko La Ajira
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Habari August 7, 2025
Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?