MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim
Habari

CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
IDETE, MLIMBA: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kupambana na changamoto za maisha kwa Watanzania kwa kuhakikisha gharama za bidhaa muhimu zinapunguzwa ili wananchi waweze kumudu maisha yao ya kila siku.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Idete, wilayani Mlimba, Morogoro Mgombea wa Urais kupitia chama hicho, Salum Mwalim, amesema bei ya bidhaa kama sukari haipaswi kuwa juu ilhali viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo vipo nchini.
“Haiwezekani mkoa wa Morogoro uwe na viwanda zaidi ya viwili vya sukari, halafu wananchi wanunue kilo ya sukari kwa Shilingi 3,000. Hali hii haikubaliki,” amesema.
Habari Picha 9714
Akizungumzia miundombinu, Mwalim amesema sera ya CHAUMMA inalenga kutengeneza barabara zote zilizo katika maeneo ya uzalishaji ili kusaidia wakulima na wananchi kwa ujumla kunufaika kiuchumi.
“Barabara ni msingi wa maendeleo. Tutahakikisha kila eneo la uzalishaji linafikika kwa urahisi ili kuongeza tija na kuinua maisha ya watu,” amesema.

You Might Also Like

REA Yapamba Maonesho Ya Kitaifa Ya Teknolojia Ya Madini Geita

Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya

Samia Azindua Shule ya Msingi ya Mchepuko wa Kiingereza Songea

Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA

BRELA Yatwaa Tuzo Sabasaba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TASAC Yapiga Marufuku Kampuni Binafsi Kusafirisha Shehena Hatarishi Za Migodini
Next Article Mabasi  Mapya Ya Mwendokasi Yaanza Kazi Njia Ya  Kimara, Gerezani na Kivukoni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu  Kufanya Tafiti Kwa Wakala Wa Huduma Za Fedha,Viwandani
Habari March 12, 2026
GCLA  Yanunua Mitambo Mikubwa Inayogharimu Sh Bil 32.25 Kuimarisha Uchunguzi Wa Sampuli
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?