MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim
Habari

CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
IDETE, MLIMBA: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kipo tayari kupambana na changamoto za maisha kwa Watanzania kwa kuhakikisha gharama za bidhaa muhimu zinapunguzwa ili wananchi waweze kumudu maisha yao ya kila siku.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Idete, wilayani Mlimba, Morogoro Mgombea wa Urais kupitia chama hicho, Salum Mwalim, amesema bei ya bidhaa kama sukari haipaswi kuwa juu ilhali viwanda vya kuzalisha bidhaa hizo vipo nchini.
“Haiwezekani mkoa wa Morogoro uwe na viwanda zaidi ya viwili vya sukari, halafu wananchi wanunue kilo ya sukari kwa Shilingi 3,000. Hali hii haikubaliki,” amesema.
Habari Picha 9714
Akizungumzia miundombinu, Mwalim amesema sera ya CHAUMMA inalenga kutengeneza barabara zote zilizo katika maeneo ya uzalishaji ili kusaidia wakulima na wananchi kwa ujumla kunufaika kiuchumi.
“Barabara ni msingi wa maendeleo. Tutahakikisha kila eneo la uzalishaji linafikika kwa urahisi ili kuongeza tija na kuinua maisha ya watu,” amesema.

You Might Also Like

UDSM Yashirikiana na China Kukuza Maarifa na Urafiki Kupitia Vitabu

Tume Ya Mipango Yaelekeza Waandishi Wa Habari Kutoa Elimu Ya Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050

CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi

Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia

Mashine Kusaidia Uuzaji Vinywaji Bila Muuzaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TASAC Yapiga Marufuku Kampuni Binafsi Kusafirisha Shehena Hatarishi Za Migodini
Next Article Mabasi  Mapya Ya Mwendokasi Yaanza Kazi Njia Ya  Kimara, Gerezani na Kivukoni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yatumia Mbinu za Kibaiolojia Kudhibiti Gugu Ziwa Victoria
Habari May 24, 2026
Wizara Ya Viwanda Kutekeleza Vipaumbele Saba, Ipo  Miradi Ya Viwanda Ya  Kimkakati
Habari May 22, 2026
Biashara 15 Hazitakiwi Kufanywa Na Wageni Ndani Ya Nchi
Habari May 22, 2026
Wadau wataka mifumo jumuishi kupunguza mzigo wa malezi kwa wenye ulemavu
Habari May 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?