MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi
Habari

BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MOROGORO: BARAZA la Wafanyakazi la Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), lina jukumu la kipekee la kuchangia katika kuweka mazingira bora ya kazi yenye kuongeza tija, ushirikiano na maendeleo ya wafanyakazi, ambayo ndio uti wa mgongo wa mafanikio ya Taasisi.
Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Godfrey Nyaisa amesema hayo wakati wa uzinduzi wa baraza hilo, mkoani Morogoro.
Nyaisa pia amewakumbusha Wajumbe wa baraza hilo kutekeleza majukumu yao ili kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.
“Tunapokutana hapa ni fursa ya kutafakari mafanikio, kujadili changamoto na kuweka mikakati ya pamoja kwa mustakabali wa Taasisi yetu,” amesema.
Amesema baraza hilo  litakuwa na jukumu la kuishauri wakala kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu maslahi ya watumishi, utekelezaji wa mipango na makisio ya mapato na matumizi ya wakala.
Pia kupokea taarifa ya utekelezaji wa wakala na kutoa ushauri, kudumisha ushirikiano kati ya watumishi na wakala katika uendeshaji wa wakala na kushauri kuhusu ustawi wa wakala na maendeleo ya watumishi.

“Pamoja na uzinduzi baraza hili litafanya tathmini ya utekelezaji wa Bajeti ya Taasisi kwa kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2024/2025 kwa kuangalia malengo yaliyopangwa, utekelezaji wa majukumu, changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji, mikakati ya kukabiliana na changamoto husika.

“Vile vile baraza litajadili na kupitisha makadirio ya Bajeti ya Wakala kwa mwaka wa fedha 2025/2026,” amesema.
Wakati huo huo, baraza lilifanya uchaguzi ambapo Ofisa Leseni Mwandamizi Peter Riwa, alichaguliwa kuwa Katibu na Ofisa Usaijili Gift Wazingwa, alichaguliwa kuwa Katibu Msaidizi wa baraza hilo.
Ufunguzi na uchaguzi ulishuhudiwa na.viongozi kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Brendan Maro pamoja na Dkt. Hussein
Mugyabuso, pia Ofisa kutoka Ofisi ya

Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu. Christina Matage,

You Might Also Like

JOWUTA,IFJ na THRDC kutoa mafunzo ya kuripoti uchaguzi mkuu.

TPHPA yaonyesha ufanisi mkubwa udhibiti wa panya, kwelea kwelea

Kikosi Kazi Maalumu Cha Kupitia Muongozo Wa Ufasili Wa Sheria Chazinduliwa

Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM

Watu Milioni 300 Afrika Kutumia Nishati Ya Umeme Ifikapi 2030-Biteko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi
Next Article Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?