MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Brela Yatoa Huduma Zote Za Usajili Katika Maonesho Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Brela Yatoa Huduma Zote Za Usajili Katika Maonesho Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Habari

Brela Yatoa Huduma Zote Za Usajili Katika Maonesho Ya Teknolojia Ya Madini Geita

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) unashiriki katika Maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Geita, ambapo wanatoa huduma mbalimbali kwa wananchi na wafanyabiashara.
Kaimu Meneja wa Leseni za Viwanda kutoka BRELA, Yusuph Nakapala, amesema taasisi hiyo inatoa huduma zote muhimu za kisheria ikiwa ni pamoja na usajili wa makampuni, usajili wa majina ya biashara, alama za biashara na huduma, hataza, pamoja na leseni za biashara za Kundi A na vyeti vya usajili.
Habari Picha 9562
Ametoa wito kwa wafanyabiashara na wananchi wote wa mkoa wa Geita na mikoa ya jirani kufika kwenye banda la BRELA katika maonesho hayo ili kupata huduma hizo kwa urahisi.
Ametaja huduma nyingine zinazotolewa kuwa ni pamoja na uwasilishaji wa mizania ya mwaka kwa kampuni, taarifa za maendeleo ya viwanda kwa wamiliki wa viwanda, na taarifa za umiliki manufaa.
Habari Picha 9563
“Mwanzoni mwa maonesho mwitikio haukuwa mkubwa, lakini kadri siku zinavyoenda, wananchi wanafika kwa wingi na tunawasaidia kutatua changamoto zao.
“BRELA imeboresha mifumo yake na tunaendelea kuboresha ili huduma zipatikane kwa urahisi, siyo tu Geita bali nchi nzima,” amesema.
Habari Picha 9565
Mmoja wa wananchi waliotembelea banda hilo, Kiliamu Simiozi, kutoka Ofisi ya Mtemi Able, amesema amefika kwa ajili ya kufanya usajili na kuongeza taarifa kwenye kampuni yao.
Ameeleza kuwa huduma zinazotolewa ni bora, lugha rafiki, na mchakato unakamilika papo hapo bila usumbufu hivyo amewahimiza ndugu na marafiki ambao bado hawajapata huduma za BRELA kufika kwenye maonesho hayo.
Naye Zedekia Gabriel, ambaye alifika kwa ajili ya kuwasilisha taarifa za umiliki’ beneficial owner’, amesema aliomba huduma hiyo muda mrefu lakini sasa amefurahi kuona ombi lake linashughulikiwa kwa haraka akiwa katika banda la Brella kwenye maonesho gayo.
Habari Picha 9566
Amekumbusha kuwa ni wajibu wa kila kampuni kufanikisha uwasilishaji wa taarifa  kwa mujibu wa sheria.
Maonesho ya Teknolojia ya Madini ya Geita yanalenga kuhamasisha matumizi ya teknolojia katika sekta ya madini pamoja na kuwahudumia wananchi kwa karibu kupitia taasisi mbalimbali za serikali na binafsi.
Habari Picha 9567
Habari Picha 9568

You Might Also Like

Rais Mwinyi Kuzindua Maabara Nguvu Za Atomi

Tanzania Yapokea Faru 18 Kutoka Afrika Kusini

Watuhumiwa 25 Wa Makosa Ya Mtandao Wakamatwa Na Polisi

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam

Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Unywaji Maziwa Shuleni Kuongeza Ufaulu, Kuboresha Afya – RAS Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Unywaji Maziwa Shuleni Kuongeza Ufaulu, Kuboresha Afya – RAS Geita
Habari September 23, 2025
Wananchi Wafurika Banda la REA Kupata Majiko Ya Bei Nafuu Maonesho ya Madini Geita
Habari September 23, 2025
TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita
Habari September 23, 2025
Fema Mining & Drilling Mfano wa Kuigwa – Musukuma
Habari September 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?