MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita
Habari

TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

GEITA: Tanzania inaendelea kutekeleza vigezo vya kimataifa vya Asasi ya EITI kwa kiwango cha kuridhisha, sambamba na Sheria ya TEITA ya mwaka 2015.

Meneja wa Kitengo cha Uwazi na Uwajibikaji kutoka Taasisi ya Uangalizi wa Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI), Erick Ketagory, amesema hayo katika Maonesho ya Nane ya Sekta ya Madini.

Amesema tangu kujiunga na Mpango wa Kimataifa unaolenga kukuza uwazi na uwajibikaji katika sekta ya uziduaji (EITI) mwaka 2009, TEITI imetoa jumla ya ripoti 15 za ulinganishi wa malipo kati ya kampuni za madini, mafuta na gesi asilia na mapato ya serikali.

“Ripoti ya hivi karibuni, ya mwaka 2022/2023, ilitolewa Juni 30, 2025,” amesema.

Ameongeza kuwa utekelezaji wa takwa la kuweka wazi mikataba ya serikali na kampuni katika sekta ya uziduaji umeanza rasmi, na mikataba hiyo sasa inapatikana kupitia tovuti ya TEITI.

Ketagory ametoa wito kwa wananchi wa Geita kutembelea banda la TEITI ili kujifunza zaidi kuhusu majukumu ya taasisi hiyo na namna ya kutumia taarifa na takwimu zinazopatikana kwenye ripoti zake.

Taarifa na ripoti zote za TEITI zinapatikana kupitia tovuti rasmi: www.teiti.go.tz

TEITI imeshiriki katika Maonesho ya Nane ya Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika mkoani Geita, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuimarisha uwazi na uwajibikaji katika sekta ya uziduaji.

Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi Septemba 22, 2025 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa.

You Might Also Like

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

‘Skills For Their Future’ Yanufaisha Wanafunzi Zaidi Ya 1000, Walimu 64 

Serikali Yatumia Teknolojia Kuwaunganisha Vijana Na Fursa Za Kiuchumi

Biteko Atoa Somo Uzalishaji Matumizi ya NIishati Afrika

Mitambo 10 Ya Uchimbaji Madini Yenye Thamani Ya Bilioni 10 Yazinduliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Fema Mining & Drilling Mfano wa Kuigwa – Musukuma
Next Article Wananchi Wafurika Banda la REA Kupata Majiko Ya Bei Nafuu Maonesho ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bunge Marathon kufanyika April 18,yakidhi viwango vya kimataifa
Habari April 14, 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Habari April 14, 2026
Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari April 11, 2026
Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Habari April 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?