MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim
Habari

CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MAGU – MWANZA: MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, ameahidi kuwa iwapo wataingia madarakani, serikali yake itavunja bodi zote za mazao zilizopo na kuanzisha mamlaka moja itakayoshughulikia mazao ya kimkakati nchini.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilayani Magu, Mwalim amesema mamlaka hiyo mpya itakuwa na jukumu la kuwalinda wakulima na kuinua thamani ya mazao yao, hususan zao la pamba.
Habari Picha 9400
Amebainisha kuwa pamoja na mamlaka hiyo, serikali yake itaanzisha mfuko wa fidia kwa ajili ya wakulima wa pamba ili kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakumba.
“Leo hii mazao ya biashara yana bodi, lakini zinafanya nini? Wanalipana mishahara na posho, lakini hazimnufaishi mkulima,” amesema Mwalim na kuongeza Serikali inapaswa kuwahudumia wakulima kupitia mamlaka yake ili heshima irudi.
Ameahidi  kusimamia ujenzi wa kiwanda cha kuchambua pamba mkoani Mwanza ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuinua kipato cha wakulima.
Akimkumbuka Mzee Paul Bomani, Mwalim amesema: “Mzee Bomani aliifanya Mwanza iwe na neema ya zao la pamba na alilinda thamani yake kwa uhodari.”
Mwalim aliwataka wananchi wa Magu kumchagua  na chama chake Oktoba 29 mwaka huu, 2025.
Amesisitiza kuwa wakati umefika kwa wananchi kuwa na chama kinachotetea maslahi ya wakulima. “Utajiri wenu ni kero kwao kwa sababu Mungu aliwapa pamba iwainue. Je, leo mtaelekea wapi?” amehoji.

You Might Also Like

Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda

TEN/MET, LHRC Zataka Iwekwe Marufuku Matumizi Ya Viboko

DC Atoa Wito kwa Tume ya Kurekebisha Sheria Kuzingatia Sheria Ndogondogo za Halmashauri

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Heshima ya Udaktari Ni Mwito wa Kulitumikia Taifa: Dkt Ikomba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Heshima ya Udaktari Ni Mwito wa Kulitumikia Taifa: Dkt Ikomba
Habari September 14, 2025
Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?