MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Roman Glorig Ahuisha Mkataba wa Uwakilishi wa Heshima wa Tanzania Nchini Czech
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Roman Glorig Ahuisha Mkataba wa Uwakilishi wa Heshima wa Tanzania Nchini Czech
Habari

Roman Glorig Ahuisha Mkataba wa Uwakilishi wa Heshima wa Tanzania Nchini Czech

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
BALOZI wa Tanzania Jamhuri ya Czech mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani, Hassani Iddi Mwamweta, amesaini mkataba wa kuhuisha nafasi ya Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania nchini Czech, Roman Glorig.
Habari Picha 9216
Glorig ambaye ni mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza ndege cha Airplane Africa Limited kilichopo mkoani Morogoro, ataendelea kuiwakilisha Tanzania kwa heshima katika Jamhuri ya Czech, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Mkataba huo ulisainiwa kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Mahmoud Thabit Kombo, ni ishara ya kuendeleza na kupanua uhusiano wa kidiplomasia uliopo.
Habari Picha 9217
Tukio hilo linaonesha dhamira ya dhati ya Serikali ya Tanzania ya kukuza mahusiano ya kimataifa, hususan katika maeneo ya afya, elimu, biashara, uwekezaji na utalii.
Kupitia ushirikiano huu, Serikali inatarajia kuongeza ubadilishanaji wa ujuzi kati ya wananchi wa Tanzania na Czech, kuimarisha mikakati ya kutangaza bidhaa na vivutio vya utalii vya Tanzania, pamoja na kuvutia wawekezaji wapya kutoka Czech.
Aidha, hatua hii inatarajiwa kuunga mkono juhudi mbalimbali za kijamii zinazolenga kuinua maisha ya wananchi na kuchangia maendeleo endelevu ya Taifa.
Habari Picha 9218
Kwa kuendeleza uwakilishi wa heshima kama huu, Tanzania inaendelea kudhihirisha msimamo wake wa kujenga mahusiano ya kimkakati na washirika wa maendeleo duniani, kwa manufaa ya taifa na watu wake.

You Might Also Like

Ruto: Diplomasia Itumike Kumaliza Mgogoro Kongo

‘Viswaswadu’ kutumika kuboresha daftari la wapiga kura

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CCCC Yagusa Wanafunzi Msasani kwa Msaada wa Vifaa vya Shule, Chakula
Next Article Tanzania Yapiga Hatua Kwenye Elimu ya Kidijitali Kupitia Ushirikiano na China
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim
Habari September 14, 2025
Heshima ya Udaktari Ni Mwito wa Kulitumikia Taifa: Dkt Ikomba
Habari September 14, 2025
Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?