MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: SADC, Marekani Kuanzisha Jukwaa La Majadiliano
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > SADC, Marekani Kuanzisha Jukwaa La Majadiliano
Habari

SADC, Marekani Kuanzisha Jukwaa La Majadiliano

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo, ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha awali cha Maofisa Waandamizi cha Jukwaa la Majadiliano kati ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Serikali ya Marekani kilichofanyika Antananarivo, Madagascar, leo Agosti 13, mwaka huu 2025.
Akifungua majadiliano hayo, Naibu Katibu Mtendaji wa SADC anayeshughulikia Ushirikiano wa Kikanda, Angeles N’Tumba, amesema kikao hicho, ambacho ni cha kwanza kufanyika, kitajadili miongozo ambayo SADC na Marekani wataitumia katika ushirikiano wao,
Ambao umelenga maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na amani na usalama, afya, uchumi, na usimamizi wa rasilimali kama vile nishati na madini.
Mwakilishi wa Serikali ya Marekani, ambaye ni Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Afrika kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Melanie Higgins, ameihakikishia SADC kuwa, licha ya mabadiliko ya sera katika Serikali ya Marekani, nchi hiyo imedhamiria kwa dhati kushirikiana na SADC, na ndiyo maana yeye na ujumbe wake wametumwa kushiriki kikao hicho.
Amesema kuwa Marekani ipo tayari kushirikiana na SADC kutatua changamoto zinazoikabili kanda hiyo, hususan zile zinazorejesha nyuma utekelezaji wa miradi ya maendeleo, amani na usalama.
Inaelezwa kuwa jukwaa hilo la majadiliano ni kielelezo cha dhamira ya dhati na ya pamoja kati ya SADC na Marekani katika kukuza na kuimarisha ushirikiano endelevu, mtangamano wa kikanda, na kuibua fursa za kiuchumi kwa manufaa ya pande zote.

You Might Also Like

Tanzania Kujifunza Teknolojia Ya Magari Ya Umeme Singapore- Biteko

Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini

Samia Mgeni Rasmi Mkutano Mkuu ALAT

Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza

Bajeti ya TUGHE 2025 Yaidhinishwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA kushirikiana na Toyota Tanzania kuboresha mafunzo ya ufundi magari
Next Article Vijana wa China Waisimulia Afrika Kupitia Video Fupi”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?