MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MTEKNOLOJIA wa chakula kutoka Bodi ya Maziwa Tanzania, Rajilan Hillal amesema Bodi hiyo imetumia fursa ya Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa kutoa mafunzo kuhusu ubora na usalama wa maziwa kwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo.
Maonesho hayo yanaendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.
Hillal amesema mafunzo hayo yanalenga kuwawezesha wadau kutambua maziwa salama, yasiyoharibika na yaliyo bora kwa afya ya mlaji, ili waweze kuzalisha na kusindika kitaalamu.
“Tunawafundisha pia namna ya kusindika mazao makubwa mawili yanayotumika zaidi nchini, ambayo ni mtindi wa kawaida na mtindi ulioboreshwa. Lengo letu ni kuhakikisha wananchi wanapata maziwa yaliyo salama na yaliyosindikwa kitaalamu,” amesema.
Amesema changamoto kubwa ni kutowafikia Watanzania wote kutokana na upungufu wa rasilimali, lakini amewashauri wananchi kutumia maziwa yaliyosindikwa yanayopatikana kwenye viwanda vya ndani kwa kuwa ni salama zaidi.
“Tuna jumla ya viwanda 187 vinavyosindika maziwa nchini, vikiwemo vidogo, vya kati na vikubwa. Hivyo ni muhimu wananchi waachane na matumizi ya maziwa yasiyo salama yanayouzwa mitaani, hasa yale yanayohifadhiwa kwenye vyombo visivyo rafiki kama vile machupa ya maji,” amesema.
Hillal amesisitiza kuwa matumizi ya maziwa yasiyo salama yanaweza kuhatarisha afya ya mlaji, na hivyo ni muhimu wananchi kuwa makini katika kuchagua maziwa wanayoyatumia kila siku.

You Might Also Like

Samia Mgeni Rasmi Mkutano Mkuu ALAT

Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia

Rais Samia Ameweka Alama Kwa Watumishi Wa Magereza Arusha,Awagawia Mitungi 528

Mvua, Upepo Yaharibu Shule Lindi, Serikali Yatoa Milioni 96

DC Atoa Wito kwa Tume ya Kurekebisha Sheria Kuzingatia Sheria Ndogondogo za Halmashauri

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Next Article Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu  Kufanya Tafiti Kwa Wakala Wa Huduma Za Fedha,Viwandani
Habari March 12, 2026
GCLA  Yanunua Mitambo Mikubwa Inayogharimu Sh Bil 32.25 Kuimarisha Uchunguzi Wa Sampuli
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?