MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Mashujaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Mashujaa
Habari

Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Mashujaa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage.
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya maadhimisho ya Mashujaa kitaifa itakayofanyika kesho Julai 25, mwaka huu 2025 Jijni Dodoma.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Doto Biteko amesema hayo alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari.
Biteko amesema kila mwaka Julai 25 kunakuwa na maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa ambayo itafanyika katika Uwanja na Mnara wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma.
“Mgeni Rasmi katika tukio hili anatarajiwa kuwa  Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Siku hii ni maalum kwa ajili ya kuwakumbuka, kuwaenzi, na kuwaheshimu mashujaa wetu waliotoa maisha yao, nguvu zao, na sadaka zao kwa ajili ya uhuru, amani, na maendeleo ya Taifa letu,” amesema.
Amesema Taifa linawakumbuka  mashujaa waliopoteza maisha yao katika uwanja wa vita, waliostaafu baada ya kulitumikia Taifa kwa uaminifu, na wale waliopata majeraha katika kuilinda nchi.
Ameeleza kuwa kutokana na heshima hiyo, saa sita usiku wa Julai 24, 2025 Mwenge wa Kumbukumbu ya Mashujaa utawashwa rasmi na mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, kwa niaba ya Rais kuashiria kuanza kwa maombolezo ya Mashujaa hao.
“Katika siku ya maadhimisho yaani Jula8 25, 2025 kuanzia saa tatu asubuhi kutakuwa na gwaride rasmi la heshima litakalofanywa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama,” amesema.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane

KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI

Waziri Mkuu Majaliwa Ahimiza Watanzania Kufanya Mazoezi

Kiwanda cha Sukari Mkulazi Chaanza Kuleta Tija, Sangu Apongeza Uwekezaji wa NSSF na Magereza

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkenda Atoa Tuzo kwa Waajiri Wanaowasilisha Michango kwa Wakati
Next Article Kichina Chatamba UDSM: Walimu Watanzania, Wachina Wapewa Tuzo kwa Umahiri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Wadau Wa Kilimo Iondoeni Nchi Kwenye Uchuuzi Wa Mafuta Ya Kula-Chongolo
Habari July 30, 2026
Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa Msongo Wa Kilovolti 400 Chalinze -Dodoma Mbioni Kukamilika
Habari July 29, 2026
Kutoka Wazo Rahisi Hadi Mapinduzi ya Kilimo: Safari ya Rafiki Planter Inayosimulia Miaka 40 ya COSTECH
Makala July 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?