MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa
Habari

VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo Stadi (VETA) imesema inajivunia mageuzi makubwa iliyoyafanya katika sekta ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini ambayo yamewezesha Watanzania wengi kujiajiri na kuajiriwa.
 Mkurungezi Mkuu wa VETA, Anthony Kasore  amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya kibiashara maarufu kama  Sabasaba yanayoendelea.
Amesema  VETA imekuwa ikitoa ujuzi  katika maeneo ambayo yanawagusa watanzania kuweza kujiajiri na kuajiriwa katika sekta mbalimbali.
“Kwa sasa VETA  tunatoa ujuzi katika maeneo mbalimbali ikiwemo kwa wale watu wanaohudumia wazee .majumbani , takribani watu 700 wameweza kuhitimu mafunzo  na kupata ajira”amesema  Kasore
Aidha amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kuweza kuweka msisitizo katika elimu ya mafunzo na Ufundi stadi .
Amesema kupitia msisitizo huo VETA wameweza kuona manufaa makubwa sana  na kuweza kufaidika na kutekeleza mambo mengi .
“Kwa sasa VETA ina vyuo  80 nchini na 65  vinakwenda kumaliziwa na Serikali…Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
 ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi vyuo hivyo ambao  upo katika hatua nzuri ya ukamilishaji wa awamu ya kwanza”amesema
Mkurungezi Mkuu huyo amesema kukamilika kwa vyuo hivyo VETA itakuwa na jumla 145 hapa nchini katika kila wilaya ambayo vinakwenda kuwasaidia wananchi kupata elimu na ujuzi wanaotaka Kwa urahisi.
Katika hatua nyingine  Kasore amesema VETA  imeanzisha   Kampuni tanzu ambayo inahusuka na  kukuza bidhaa bunifu zinazotegenezwa kupitia vyuo vyake mbalimbali .
Amesema bidhaa zote ambazo zitakuwa zikitegenezwa na wanafunzi  kutoka katika vyuo hivyo zitakuwa zikiuzwa katika Kampuni hiyo tanzu .
“Kampuni hii tanzu itakuwa ikihususika na bidhaa zote tunazozitegeneza pamoja na kutoa huduma mbalimbali kuanzia katika eneo la utengenezaji fanicha na usimamizi wa Miradi mbalimbali “amesema Kasore

You Might Also Like

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

JOWUTA Yataka Sheria Za Kazi Kuwalinda Wafanyakazi Katika Vyombo Vya Habari

Askari wa Jeshi La Uhifadhi Kusini Wakumbushwa Wajibu

Profesa Nombo Atembelea Banda la UDSM, 88 Dodoma

Polisi Yaimarisha Usalama Timu za Simba na Yanga Kesho

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article DIT Mwanza   Kutoa Kozi Ya Kuchakata Ngozi
Next Article Bahari  Ina Fursa Nyingi Zisizofahamika-Tasac
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Habari December 9, 2025
Profesa Ndunguru: Mtafiti Aliyejitoa Kusaidia Dunia Kupata Chakula Cha Baadae
Makala December 9, 2025
Profesa Ndunguru Abainisha Mwelekeo Mpya Wa Mageuzi Ya Kilimo Duniani
Habari December 9, 2025
TPDC na PURA Hakikisheni Watanzania Wananufaika na Rasilimali za Mafuta na Gesi- Salome
Habari December 8, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?