MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba
Habari

Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu

Shirila La Posta Tanzania  limekuja na ubunifu mpya Wa mabasi madogo ya kitalii ambayo yanatumika Kusafirisha  viongozi na wananchi kutoka kwenye eneo la mapokezi ya maonesho ya biashara ya kimaraifa maarufu kama  sabasaba  Ili kuzunguka eneo lote kwa watakaohitaji.

Gharama za Kupata usafiri huo ni sh 2000 kwa mtu  mzima na kwa mtoto sh 1000 ambapo wananchi wamekuwa wakitumia fursa hiyo kuzunguka manenobalimbali ya maonesho.

Kuhusu  Maonesho hayo Shirika hilo Posta Masta  Mkuu MKUU Macrice Mbodo amesema mbali na huduma ya Usafiri pia Shirika limejipanga kusafirisha vifurushi na mizigo kutoka ofisini kwako au nyumbani kwa mteja mpaka kwenye banda la mhusika katika viwanja vya sabasaba na kurejesha ofisini kwa mhusika au nyumbani  baada ya kukamilika kwa maonyesho ya sabasaba.

Aidha katika maonesho hayo pia Shirika  Shirika la Posta Tanzania linatoa huduma ya kusafirisha vifurushi na mizigo itakayonunuliwa na wateja kwenye maonesho ya sabasaba kutoka kwenye banda itakaponunuliwa bidhaa hizo na kuzifikisha nyumbani kwa mteja.

Vilevile Shirika linafanya clearing and forwarding kwa wafanyabiashara washiriki wa maonesho
kutoka nje ya mipaka yaTanzania.

“Kwa uhuru wa watakaokuwa na mabanda kwenye maonyesho ya sabasaba, tutaweka
bidhaa zao kwenye duka letu mtandao ili kuwafanya wananchi na wageni kutoka nchi
zingine duniani kushiriki maonyesho haya ya sabasaba kwa kununua bidhaa yoyote
itakayosajiliwa kwenye duka letu mtandao,
na sisi kumsafirishia bidhaa hiyo na
kumfikishia popote pasipo yeye kulazimika
kuja kwenye maonyesho,” amesema.

Amesema Lengo ni kuwapa fursa ya pamoja wananchi waliyoko nje ya mkoa wa Dar es salaam na nje ya Tanzania kushiriki maonyesho hayo ya sabasaba kidijitali sawasawa na fursa waliyonayo wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam.

You Might Also Like

Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani

JWTZ Kulipa Fidia Wananchi Waliochukuliwa Maeneo

Majaliwa Ataka Yatolewe Mafunzo Yanayozingatia Soko La Ajira

Idadi Ya Wagonjwa Wa Magonjwa Yasiyoambukiza Kuongezeka

Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mradi wa Maadili Katika Utafiti Wa Binadamu Na Huduma Za Afya Wafanywa UDSM kwa Ushirikiano wa Kimataifa
Next Article Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?