MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu
Habari

Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM:  MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  (UDSM), Profesa William Anangisye amewataka wahitimu chuoni hapo kulinda tunu za taifa ambazo ni amani, umoja, uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar.
Profesa Anangisye ametoa rai hiyo wakati wa Mahafali ya 55 Duru ya Kwanza yaliyofanyika Mlimani City, Dar es Salaam.
“Lindeni tunu ya Taifa. Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna taifa au nchi nyingine ambayo wewe na mimi tunaweza kuita nyumbani isipokuwa Tanzania.
“Hivyo popote mtakapokuwa na nitakapokuwa, tunao wajibu mkubwa wa kulinda tunu za taifa,” amesema.
Pia amewaasa wahitimu kutambua thamani ya elimu waliyoioata kwa kuwa imewaongezea thamani kwani wana nafasi ya kipekee kuwa mawakala wa mabadiliko.
Kwa upande mwingine, amewataka wananchi kushiriki uchaguzi mkuu kwa kuwa ni haki  ya kila mtanzania.
“Kwa mantiki hii, na kwa heshima kubwa niombe kila mmoja wetu, kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuoiga kura,” amesema.
Naye Mwenyekiti wa chuo hicho, Balozi Mwanaidi Maajar amesena katika kuhakikisha chuo kinabaki kuwa kinara wa elimu, utafiti na uvumbuzi katika ukanda wa bara la Afrika, baraza linaendelea kusimamia miradi mikubwa ya naendeleo.

You Might Also Like

Serikali Yawapeleka Wauguzi 101 Nchini Saudi Arabia

Ridhiwani Azindua Mifumo Ya Kielektroniki Na Miongozo YA Kazi, Ajira, Ulemavu

UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi

Uzinduzi wa Ubia Wiki Ya Ubunifu Tanzania 2025 Wafanyika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri
Next Article Waandishi wa Habari wa Afrika wapata mafunzo ya Kuandika Habari za Uhamiaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?