MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu
Habari

Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM:  MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  (UDSM), Profesa William Anangisye amewataka wahitimu chuoni hapo kulinda tunu za taifa ambazo ni amani, umoja, uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar.
Profesa Anangisye ametoa rai hiyo wakati wa Mahafali ya 55 Duru ya Kwanza yaliyofanyika Mlimani City, Dar es Salaam.
“Lindeni tunu ya Taifa. Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna taifa au nchi nyingine ambayo wewe na mimi tunaweza kuita nyumbani isipokuwa Tanzania.
“Hivyo popote mtakapokuwa na nitakapokuwa, tunao wajibu mkubwa wa kulinda tunu za taifa,” amesema.
Pia amewaasa wahitimu kutambua thamani ya elimu waliyoioata kwa kuwa imewaongezea thamani kwani wana nafasi ya kipekee kuwa mawakala wa mabadiliko.
Kwa upande mwingine, amewataka wananchi kushiriki uchaguzi mkuu kwa kuwa ni haki  ya kila mtanzania.
“Kwa mantiki hii, na kwa heshima kubwa niombe kila mmoja wetu, kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuoiga kura,” amesema.
Naye Mwenyekiti wa chuo hicho, Balozi Mwanaidi Maajar amesena katika kuhakikisha chuo kinabaki kuwa kinara wa elimu, utafiti na uvumbuzi katika ukanda wa bara la Afrika, baraza linaendelea kusimamia miradi mikubwa ya naendeleo.

You Might Also Like

Kongamano La Kwanza La Kodi Kufanyika Dar es Salaam

Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa

Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri
Next Article Waandishi wa Habari wa Afrika wapata mafunzo ya Kuandika Habari za Uhamiaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?