MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 
Habari

Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: JESHI la polisi Mkoa wa Dodoma limewaomba wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za watu wanaowadhania wanaweza kuwa na viashiria vya uhalifu ili watiwe nguvuni.
Ombi hilo limetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari juu ya taarifa ya kukamatwa watu ambao wanadhaniwa ni waharifu katika maeneo mbalimbali katika Mkoa huo.
Katabazi amesema  jeshi hilo linawashikilia watuhumiwa wanne kwa kosa la kupatikana na silaha bila kuwa na kibali katika wilaya za Dodoma mjini na Mpwapwa.
Amesema Mei 17, mwaka huu 2025  majira ya saa kumi kamili jioni katika mtaa wa kikuyu mission jijini Dodoma walikamatwa watuhumiwa wawili wote wakazi wa kikuyu mission wakiwa na bastora ikiwa na risasi 13 kwenye magazine yake.
Kamanda huyo amesema.Mei 19 mwaka huu majira ya saa 11: 00 jioni katika mtaa wa Lukole wilaya ya Mpwapwa walikamatwa watuhumiwa wegine wawili wakiwa na silaha iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za Shortgun iliyokatwa mtutu na kitako pamoja na risasi tano.
Aidha Mei 18 mwaka huu, saa n 4: 40 usiku, mtaa wa Mbuyuni Kata ya Kizota walikamatwa Nestory Kimario (38) na Thomas Paschal maarufu kwa jina la Sigan (28), wote wakazi wa Mbabala.
Amesema watuhumiwa hao wamekutwa na mafuta aina ya Dizeli lita 2420 yakiwa kwenye madumu 89 yaliyohifadhiwa kwenye gari aina ya Toyota yenye namba za usajili T273BKB.
Kamanda Katabazi amesema katika msako wamekamata vifaa mbalimbali vya kuvunjia, TV sita  na redio saba ,ambazo zinadaiwa kuwa mali za wizi.

You Might Also Like

Ujenzi Miundombinu ya Kuongeza Udahili kipaumbele Cha Serikali

Ridhiwan Kikwete awaagiza maofisa kazi kushirikiana na WCF

Tunatekeleza Azma YA Rais Samia Kuwafikia Wananchi Waliojiajiri

Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi UDSM, MUM Kushiriki Fainali Ya Kimataifa Mashindano Ya Chinese Brigde
Next Article Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Bora Hujenga Mazingira Wezeshi Kwa Wahadhiri – Profesa Nombo
Habari June 5, 2025
Sheria Ya Kupata  Taarifa, Ya NGOs Zina Upungufu 
Habari June 4, 2025
Mchengerwa Awafunda Walimu
Habari June 4, 2025
Ushiriki Wa Tanzania Jukwaa La Dunia Waongeza Fursa Za Kimataifa Kukabiliana Na Maafa-Dk Yonaz
Habari June 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?