MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dar Yaidhinishiwa Bil. 68 Ukarabati, Matengenezo Ya Barabara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dar Yaidhinishiwa Bil. 68 Ukarabati, Matengenezo Ya Barabara
Habari

Dar Yaidhinishiwa Bil. 68 Ukarabati, Matengenezo Ya Barabara

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: Mkoa wa Dar es salaam katika Utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 umeidhinishiwa Sh. Bilioni 68 kwa ajili ya ukarabati na matengenezo ya Barabara ya zaidi ya kilomita 1000.

Aidha lami kilomita 26.04, pamoja na madaraja na Kalavati 38.

Akimwakilisha Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA), Ismail Mafita amesema hayo katika Semina ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA), iliyofanyika mkoani Dar es Salaam.

Amesema, “Maendeleo ya utekelezaji kwa Mipango ya mwaka 2024/2025 yanahusisha utekelezaji wa kimaumbile na kifedha ambapo utekelezaji hadi kufikia Disemba 2024 wa kimaumbile ni asilimia 53,”.

Pia amesema mkoa wa Dar es Salaam, unatekeleza miradi ya ujenzi na matengenezo ya miundombinu ya barabara inayogharamiwa na fedha za mapato ya ndani ya Wakurugenzi ambapo utekelezaji wake umefikia katika hatua mbalimbali.

Amesema barabara nchini ni nguzo muhimu katika sekta ya usafiri na usafirishaji ambayo kwa kiwango kikubwa hutumiwa na watu wote kuanzia wenye vipato vya chini, kati na juu.

Amesema rasilimali barabara ndiyo njia kuu ya usafiri na usafirishaji, ambapo zaidi ya asilimia 90 ya wasafiri na zaidi ya asilimia 80 ya mizigo hutumia njia hiyo.

Amesema barabara ni nyenzo muhimu inayochangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi huku ufanisi wa mipango ya serikali inayolenga maendeleo ya vijijini,

Uzalishaji wa ajira pamoja na maendeleo ya viwanda kwa kiasi kikubwa unachangiwa na ubora wa huduma za usafiri kwa njia ya barabara.

Amesema ndio njia pekee na rahisi inayowaunganisha wazalishaji wa masoko, wafanyakazi na ajira, wanafunzi na shule pamoja na wagonjwa na hospitali.

“Barabara zinatoa mchango muhimu katika kutimiza malengo ya serikali ya kuhakikisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi.

You Might Also Like

BMT Yaleta Kicheko Kwenye Michezo

Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio

Kingoba : Sheria Inawataja Waliotoa Mchango Sekta Ya Habari Ambao Sio Waandishi Wa Habari

Mtoto Wa Miaka Sita Ashinda Ashindano Ya Kuhifadhi Quraan Mkoa Arusha

GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waajiri Wathamini Taaluma Ya Uandishi Wa Habari – Dkt. Mkoko
Next Article TARURA Yaimarisha Upitikaji Miundombinu Ya Barabara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?