MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji
Habari

Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limemwokoa mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbezi Wilayani Ubungo, Dar es Salaam kutoka mikononi mwa mtekaji.
Kamanda Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema mwanafunzi huyo ( 8), wa darasa la pili Machi 6, mwaka huu 2025 alitekwa na mtuhumiwa Stanley Ulaya (18), Mkazi wa Kata ya Nguruka, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.
Amesema mtuhumiwa huyo alitenda tukio hilo wakati mwanafunzi huyo aliposhuka katika daladala kabla ya kuingia katika geti la shule ndipo alipokamatwa na mtuhumiwa huyo na kumpeleka Wilaya ya Bagamoyo Pwani.
“Mtuhumiwa alikaa naye vichakani huku akitumia namba ya simu ya mzazi iliyokuwa kwenye madaftari kupiga huku akidai pesa kwa vitisho ili amuachie na asimdhuru mtoto huyo,” amesema.
Amesema jeshi hilo lilifanya kazi ya ziada ya ufuatiliaji na Jana Machi nane, majira ya saa moja usiku baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi Osterbay alijaribu kutoroka kwa kukimbia.
Amesema alipigwa risasi mguuni na kwenye paja na kufanikiwa kumzuia baada ya kutotii tahadhari za risasi zilizopigwa hewani wakati anakimbia.
“Hali yake ni mbaya na alipelekwa hospitali kwa matibabu, aidha hali ya mtoto ni njema na uchunguzi zaidi wa madaktari unaendelea,” amesema.
Amesema jeshi hilo linalaani vikali vitendo vya wizi wa watoto na aina yoyote ya utekaji na halitakuwa na huruma kwa wahusika kuwashughulikia vikali  lakini kwa mujibu wa sheria.

You Might Also Like

Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini

Trilioni 1.2 Kumaliza Tatizo la Maji Dar

Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji

Tanzania Kidedea Tuzo Ya Mashindano Ya Kimataifa  Usalama wa Barabara

Mara Yapaa: Miaka Minne Ya Mafanikio Chini Ya Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania
Next Article Usafirishaji Wa Mizigo SGR Mbioni Kuanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mfumo Wa Kidijitali Wa PSSSF Wamvutia Mkurugenzi Wa BOT
Habari August 5, 2026
FAO Yasisitiza Kutowapa Mifugo Dawa Bila Maelekezo Ya Watalaam
Habari August 5, 2026
Balozi Wa Kudumu Wa Mashirika Ya UN Atembelea FAO Nanenane
Habari August 5, 2026
Wadau Wamiminika Banda La REA Katika Maonesho Ya Nanenane  2026
Habari August 5, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?