MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame
Habari

RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewaagiza wakuu wa wilaya zote za mkoa huo kufanya tafiti na kurejesha majibu haraka juu ya hali ya chakula katika maeneo yao.

Senyamule ametoa maagizo hayo kwenye kikao cha kamati ya Ushari Mkoa wa Dodoma kilichokuwa kikijadili mambo mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo hali ya ukame inayoendelea nchini.

Kiongozi huyo wa Mkoa amesema kuna kila sababu ya kufanya utafiti wa kina  ili kujua hali ya chakula ikoje kila wilaya kwa nia kuweka utaratibu  wa kujipanga kukabiliana na hali hiyo pindi itakapoonekana kuna hali ya uhitaji wa chakula hapo mbeleni.

Katika hali nyingine amewataka wananchi wa Mkoa wa Dodoma kuhakikisha wanatunza chakula, wasitumie nafaka kwa ajili ya kutengenezea pombe

Kutokana na hali ya ukame inayoendelea amewashauri wafugaji kuvuna mifugo na kununua chakula huku akieleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa hata hiyo mifugo kukosa malisho kama hali ya hewa itaendelea hivyo.

Sambamba na hilo amehimiza juhudi za makusudi kuendelea kufanyika kwa kuwahimiza wakulima kulima kilimo cha umwagiliaji pale inapowezekana ili kufanikisha kupata mazao yanayostahili kulimwa sehemu husika.

Kwa upande mwingine, Mbunge wa jimbo la Kongwa Job Ndugai ametoa ushauri kwa Jiji kuona namna ya kufanya uwekezaji mkubwa ambao utabeba Mkoa mzima hasa kwa upande wa elimu.

Amesema kutokana na Jiji kuwa na mapato makubwa kuna kila sababu ya kujenga shule kubwa ya bweni ambayo itaweza kuwahudumia wanafunzi wengi ambao watakuwa wamekosa nafasi katika shule za wilaya wanazoishi.

 

 

You Might Also Like

Hazina yaanza kuwalipa wanachama 465 wa TALGWU

Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii
Next Article Watuhumiwa 25 Wa Makosa Ya Mtandao Wakamatwa Na Polisi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?