MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mpango Asema Tanzania, Korea Kubadilishana Wafanyakazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mpango Asema Tanzania, Korea Kubadilishana Wafanyakazi
Habari

Mpango Asema Tanzania, Korea Kubadilishana Wafanyakazi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MAKAMU wa Rais. Dkt.Philip Mpango amesema Tanzania ipo tayari kushirikiana na Korea katika kubadilishana wafanyakazi,.
Dkt. Mpango amesema hayo alipofanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzania, Eunju Ahn, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Februari 19, 2025.
Katika eneo hilo la kubadilishana wafanyakazi, Dkt. Mpango alimwomba Balozi huyo kuwezesha mchakato wa kujiunga katika Mfumo wa Vibali vya Ajira (EPS) ili wafanyakazi wa Tanzania waweze kuingia katika soko la ajira la Korea.
Mpango amesema huko watanzania watafanya kazi mbalimbalii katika sekta za ujenzi wa meli, sekta ya viwanda na kilimo cha kisasa.
Kwa upande mwingine Dkt. Mpango ameipongeza Jamhuri ya Korea kwa kuiunga mkono Tanzania katika sekta ya Elimu, Miundombinu, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Afya, Kilimo, Viwanda na Nishati.
Amesema makubaliano ya ushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika madini ya kimkakati yataleta manufaa mengi zaidi kwa kuwa Tanzania imejaliwa kuwa na madini mengi ambayo yanaenda sambamba na mwelekeo wa dunia ya sasa ambayo inajikita katika uchumi wa teknolojia za kijani.
Pia Makamu wa Rais amemweza Balozi wa Jamhuri ya Korea umuhimu wa kuongeza kiwango cha ufanyaji biashara baina ya Tanzania na Korea yenye manufaa kwa pande zote mbili.
Halikadhalika amesema ushirikiano unahitajika katika Elimu na kuwajengea uwezo wataalamu wa Afya kwa kuwapatia mafunzo katika ubingwa na ubobezi wa utoaji matibabu mbalimbali.
Amesema ni muhimu wawekezaji na wafanyabiashara wa Korea kutembelea Tanzania mara kwa mara ili kujionea fursa zilizopo na kuwekeza nchini katika sekta mbalimbali ikiwemo viwanda.
Amesema uongezaji wa thamani kwa malighafi hapa hapa nchini utachochea biashara, uhamishaji teknolojia pamoja ongezeko la ajira kwa wananchi wa Tanzania.
Makamu wa Rais pia amesisitiza kushirikiana katika masuala ya utamaduni, michezo na lugha ya Kiswahili.
Kwa upande wake Balozi huyo, Eunju Ahn amesema katika kipindi atakachohudumu nafasi ya Ubalozi nchini Tanzania, atahakikisha anasimamia na kuharakisha kukamilika kwa makubaliano mbalimbali yaliyofikiwa.

You Might Also Like

Waziri wa Vijana akutana na Mwita wa Zanzibar

Siri ya ushindi JKT hii hapa

Rais Samia katika uzinduzi rasmi safari za SGR

LHRC Kushirikiana  Na JOWUTA Kuwajengea Uwezo Wanahabari Katika Masuala Ya Haki Zao Na Sheria Za Kazi

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi
Next Article Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu
Habari May 28, 2025
Chalamila Atoa Wiki Mbili Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kufungua Njia Kariakoo
Habari May 28, 2025
Mtanda Akagua Maendeleo Ya Mradi YA Hoteli Ya Nyota Tano Ya NSSF
Habari May 27, 2025
UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3
Habari May 27, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?