MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JUMIKITA Yaiomba Serikali Mikopo Ya Fedha, Vifaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JUMIKITA Yaiomba Serikali Mikopo Ya Fedha, Vifaa
Habari

JUMIKITA Yaiomba Serikali Mikopo Ya Fedha, Vifaa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: JUMUIYA ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imeiomba Serikali kutoa mikopo ya fedha na vifaa vya uzalishaji wa maudhui katika Tasnia ya habari, kama inavyofanya katika tasnia nyingine.
Mratibu wa Jumuiya hiyo Gilbert Boniface ametoa ombi hilo katika mkutano wa mwaka wa vyombo vya utangazaji nchini, uliofanyika Februari  13-14, 2025, jijini Dodoma.
Amesema ili kuendeleza na kuimarisha kazi za uandishi na uzalishaji wa maudhui ya ndani katika mitandao ya kijamii, ni muhimu kuwa na msaada wa kifedha na vifaa vya kisasa.
Amesema msaada huo utachochea ubunifu na kuhakikisha vyombo vya habari vinavyotumia mitandao ya kijamii vinakuwa na ufanisi na ubora wa juu katika utoaji wa habari.

You Might Also Like

Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala

Sheria Ya Kupata  Taarifa, Ya NGOs Zina Upungufu 

Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli

Mwambungulu Asisitiza Ushirikiano Na Serikali

Ridhiwani Ateta na Viongozi wa Vijiji Lugoba, Chalinze 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Msigwa Azikumbusha Taassisi Za Serikali, TANROAD Ikielezea Mafanikio Yake
Next Article WCF Yaleta Utulivu Mahala Pa Kazi – Katambi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?