MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi
Habari

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema hapa nchini Kiswahili kimeanza kufubazwa, kwa kuyapa maana isiyo sahihi maelezo ya kawaida ya lugha hiyo.
Kabudi amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji Nchini, leo Februari 13, 2025.
Amesema, ” Kumeanza kuwa na changamoto ya kudumaza Kiswahili, maana ya kuwa legalese, kwa kutumia utajiri wa lugha ya kiswahili na kurudia maneno yale yale kwa kika jambo.
” Tatizo sasa limeanza kuwa sugu ni kubananga lugha ya kiswahi. Tumeanza kusena uyu siyo huyu. Uyo sio huyo, Ana sio Hana,” amesema.
Kabudi amesema kwa hiyo kiswahili kinabanangwa, matokeo yake watumiaji wa lugha ya kiswahili katika nchi zinazozubguka Tanzania, watanzania ni wazungumzaji wa kiswahili lakini siyo mahiri tena kwa kiswahili fasaha na sanifu.
Kwa upande Wake Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania  (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari amesema mamlaka hiyo imejiwekea utaratibu wa kukutana na vyombo vyote vya habari, mara moja kwa mwaka.
Amesema lengo la kukutana ni kushauriana, kuelomishana pamoja na kutafuta majibu ya changamoto.
“Leo ni siku ya redio duniani. Kaulimbiu ni ‘Redio na Mabadiliko ya tabia nchi’,” amesema.
Anaeleza kuwa vyombo vya habari vinapaswa kutoa taarifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ili kuiwezesha jamii kuchukua tahadhari zote zinazoendelea na mabadiliko hayo.

You Might Also Like

TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge

JAB Kusimamia  Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi

NHIF: Ruksa wanachama kutumia NIDA

Waziri Mkuu Majaliwa Amwakilisha Dkt.Mpango Mahafali Ya 43 OUT

UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Elimu Ya Fedha Yafika Makanya Same
Next Article Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa
Habari May 21, 2025
Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 
Habari May 20, 2025
Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi
Habari May 20, 2025
Polisi Dodoma Yawataka Wananchi Kutoa Taarifa 
Habari May 20, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?