MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi
Habari

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema hapa nchini Kiswahili kimeanza kufubazwa, kwa kuyapa maana isiyo sahihi maelezo ya kawaida ya lugha hiyo.
Kabudi amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji Nchini, leo Februari 13, 2025.
Amesema, ” Kumeanza kuwa na changamoto ya kudumaza Kiswahili, maana ya kuwa legalese, kwa kutumia utajiri wa lugha ya kiswahili na kurudia maneno yale yale kwa kika jambo.
” Tatizo sasa limeanza kuwa sugu ni kubananga lugha ya kiswahi. Tumeanza kusena uyu siyo huyu. Uyo sio huyo, Ana sio Hana,” amesema.
Kabudi amesema kwa hiyo kiswahili kinabanangwa, matokeo yake watumiaji wa lugha ya kiswahili katika nchi zinazozubguka Tanzania, watanzania ni wazungumzaji wa kiswahili lakini siyo mahiri tena kwa kiswahili fasaha na sanifu.
Kwa upande Wake Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania  (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari amesema mamlaka hiyo imejiwekea utaratibu wa kukutana na vyombo vyote vya habari, mara moja kwa mwaka.
Amesema lengo la kukutana ni kushauriana, kuelomishana pamoja na kutafuta majibu ya changamoto.
“Leo ni siku ya redio duniani. Kaulimbiu ni ‘Redio na Mabadiliko ya tabia nchi’,” amesema.
Anaeleza kuwa vyombo vya habari vinapaswa kutoa taarifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ili kuiwezesha jamii kuchukua tahadhari zote zinazoendelea na mabadiliko hayo.

You Might Also Like

Serikali Yaendesha Warsha Kujenga Ushirikiano Na washirika Wa Maendeleo  

Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya

Ridhiwani, Mlao na wanachama wa CCM Kata ya Bwilingu wakinadi chama chao dakika za lala salama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Elimu Ya Fedha Yafika Makanya Same
Next Article Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?