MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Habari

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA:WATUMISHI wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wametakiwa kuongeza uwajibikaji, nidhamu ya kazi, kuboresha utendaji kazi, kuimarisha ushirikiano na viongozi ili kuendelea kudumisha amani, utulivu na usalama wa nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito huo alipokuwa akifungua mkutano wa Baraza Kuu la wafanyakazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dodoma.
“Michango yenu ilenge kutekeleza falsafa ya 4Rs za Mheshimiwa Rais, ambazo ni Maridhiano, Mabadiliko, Ustahimilivu na Kujenga upya” amesema.
Naye Naibu wa Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo amewapongeza watumishi kwa kuendelea kuwa wazalendo katika kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa ufanisi mkubwa.
Mweyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Gugu amasisitiza watumishi watumie baraza hilo kutoa michango yenye tija itakayowezesha Wizara kutekeleza majukumu ya kila siku.
“Kufanyika kwa Mkutano huu wa Baraza Kuu la wafanyakazi wa Wizara ni fursa kwa watumishi wote kushirikishwa katika kupanga mipango ya Wizara Kupitia majadiliano ya pamoja,” amesema.

You Might Also Like

TTCL Yafanya Maboresho Makubwa Kwa Watumiaji

Rais Mwinyi Ajionea Mifumo Mbalimbali Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu Sabasaba

Dkt. Biteko ashiriki kilele cha miaka 60 JWTZ

Shule 216 Za Serikali Zatumia Nishati Safi Ya Kupikia – Kapinga

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Next Article Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?