MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vyama Vya Wafanyakazi Kujadili Hatma Ya Wafanyakazi TAZARA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vyama Vya Wafanyakazi Kujadili Hatma Ya Wafanyakazi TAZARA
Habari

Vyama Vya Wafanyakazi Kujadili Hatma Ya Wafanyakazi TAZARA

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), pamoja na cha Zambia, vinatarajia kukutana mwanzoni mwa mwaka ujao 2025 kwa ajili ya kujadili ubinafsishwaji wa Reli ya Tanzania na Zambia  (TAZARA).
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Eddo Makata amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi Tanzania kuhusu ubinafsishwaji unaoenda kufanyika ambapo serikali za nchi zote mbili zimeshakubaliana.
Makata amesema serikali za nchi hizo mbili zimekubaliana kampuni kutoka China ya CCECC kuendesha reli hiyo.
“Ubinafsishaji huu utaendana na masharti kadhaa kwa sababu wameshasaini MOU, baada ya kusaini wanaingia mkataba sasa katika mkataba wanaoingua sisi kama vyama vya wafanyakazi  TRAWU na wenzetu walioko Zambia tutakutana kuona ni kitu gani kimepangwa kwa ajili ya mfanyakazi wa TAZARA.
” Anaondolewa kwenye taasisi au haondolewi. Ni nini anafanyiwa. Kwa hiyo tunategemea mwakani mapema tutapigania maslahi ya mfanyakazi huyu wa TAZARA,” amesema.

You Might Also Like

Nzega Kujenga Barabara za Lami, Soko la Kisasa ili Kukuza Uchumi

Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

TUGHE Kujenga Jengo La Bilioni 10, Chawapa Zawadi Wafanya Kazi Hodari Zaidi Ya Bilioni Tatu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRAWU Yapigania Wafanyakazi TAZARA Nyongeza Ya Mshahara
Next Article Utiaji Saini Mkataba Wa Ujenzi Jengo La TUGHE Wafanyika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika
Makala May 16, 2025
Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji
Habari May 16, 2025
Wizara Ya Madini Kununua Chopa, Kufanya Utafiti
Habari May 15, 2025
Serikali Kupeleka Umeme Maeneo Ya Kimkakati
Habari May 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?