MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo
Habari

Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “UNAWEZA kuunguliwa nyumba usiridhike, unakuja EWURA. Unaweza kujaziwa mafuta machafu, unakuja EWURA. Unaweza kujaza mafuta ambayo bei sio ile iliyotolewa na EWURA, unakuja kulalamika. Utafidiwa kutokana na kile kilichotokea, inategemeana,”.
Meneja Mawasiliano na Uhusiano kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo amesema hayo wakati wa Mafunzo ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji kwa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania ( JOWUTA).
Kaguo amesema EWURA ni taasisi inayoweza kubadilika na kufanya maamuzi ya kimahakama.
” Tunaposhughulikia malalamiko, tunabadilika na kuwa mahakama,” amesema Kaguo.
Amesema mamlaka hiyo inatatua malalamiko na kufika hadi mwisho, kwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni.

You Might Also Like

Serikali Kukarabati Vituo Vyote Vya Kutolea Huduma Za Afya Kongwe

Watumishi wa serikali watakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji

Ujenzi Kiwanda cha Chumvi Waanza Lindi

Program Ya Maeneo Yaliyochakaa Nchini Yaandaliwa

Waandishi wa Habari wa Afrika wapata mafunzo ya Kuandika Habari za Uhamiaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu
Next Article Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?