MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti
Habari

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA) Profesa Joseph Ndunguru amesema ili kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo inahitajika kuwekeza katika utafiti.

Profesa Ndunguru amesema hayo katika Kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu na maonesho lililoandaliwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH).

Ndunguru amesema hayo wakati akitoa mada kuhusu matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu katika kuleta mageuzi kwenye sekta ya kilimo.

“Tunashukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa sababu ameongeza bajeti ya utafiti pia kufanya kilimo kinachotumia matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu.

” Kwa sababu teknolojia zimebadilika sana ziende sasa zikatusaidie katika kuleta tija katika kilimo lakini mambo mengine ya kufanya ni kushirikiana na sekta binafsi katika shughuli mbalimbali,” amesema.

Katika mada aliyowasilisha pia ameeleza kuhusu matumizi ya teknolojia  za kisasa  za ndege nyuki ‘drone’ zinavyoweza kusaidia kudhibiti visumbufu vikiwemo nzige.

“Na hii ni kitu muhimu sana ndio moja ya kitu ambacho kinawavutia sana vijana kuingia katika kilimo, Ni matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu,” amesema.

 

You Might Also Like

VETA Yajipanga Kutoa Mafunzo Yanayoendana na Teknolojia ya Kisasa

Serikali  Kutumia Fursa  ya AFCON,  Miss World Na IPU Kukuza Utalii Nchini

Wachimbaji Wadogo Wafikiwa

Mbunge Aibana Serikali Kuhusu Malipo ya Wafanyakazi wa Zamani SPM Mgololo

Wananchi Kunufaika Na Huduma Za Kijamii Mradi Wa LNG Mkoani Lindi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article REA Yaupamba Mkutano Wa Kikanda Wa Nishati Bora 2024
Next Article TPHPA Yaelekeza Wakulima Kutumia Viuatilifu Kwa Usahihi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme
Habari July 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?