MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu
Habari

TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

DAR ES SALAAM: CHANGAMOTO za mabadiliko ya tabia nchi, zimesababisha mbegu zilizokuwa zikifanya vizuri zamani kupungua ufanisi na tija, jambo linalowafanya watafiti wa kilimo kuja na majibu ya changamoto hizo.

Mtafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Emmanuel Mwenda amesema hayo katika Mkutano wa wadau wa mazao ya karanga, maharage na mtama mkoani Dar es Salaam, baada ya mkutano kama huo kufanyika Arusha na Dodoma.

Mwenda mtafiti kutoka TARI Ilonga iliyopo Kilosa Morogoro, pia ni Mratibu Kitaifa wa zao la mtama amesema hayo alipokuwa akijibu swali la Mkulima aliyetaka kujua kwanini TARI inatafiti Mbegu wakati nyingine zipo.

Naye Meneja kituo cha TARI Mikocheni- Dkt. Freddy Tairo amesema TARI imegundua Teknolojia mbalimbali ikiwemo Mbegu bora za Maharage, Mtama na Karanga ili kuongeza tija.

Amesema taasisi hiyo inaendelea kufanya utafiti wa mbegu bora ili kuendelea kugundua teknolojia bora za Kilimo zinazolenga kujibu changamoto mbalimbali zinazoibuka na kuathiri upatikanaji wa tija katika mnyororo mzima wa thamani wa Kilimo.

Miongoni mwa sababu zinazotajwa kuathiri tija ni mabadiliko ya tabia nchi ambayo huleta changamoto mpya ikiwemo magonjwa na hata magugu ambayo awali hayakuwepo.

Agatha Laizer, ambaye ni msindikaji wa siagi ya Karanga amewashauri wadau wa Kilimo kama Wakulima na wasindikaji wa bidhaa za Kilimo kutafuta taarifa mbalimbali za Kilimo kutoka kwa Wataalamu kama TARI,

Ikiwemo aina ipi ya Mbegu inafaa kwa usindikaji wa siagi ili kupata tija kutokana na shughuli mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa kilimo.

You Might Also Like

Wazazi washauriwa kusomesha watoto useremala

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Mfumo Wa KieletronikiWa Albino Kurahisisha Kuwatambua – Ridhiwani

VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Next Article OUT Yawapiga Msasa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?