MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini
Habari

CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini

Author
By Author
Share
2 Min Read
Kaimu Mkurugenzi Usuluhishi Awazungumzia

Na Lucy Ngowi

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi ( CMA), inasaidia vijana kuwa na nafasi bora kazini, pia ina wajibu wa kutatua migogoro ya kikazi. .
Aidha utatuzi wa migogoro  ya kikazi kwa vijana, itawasaidia kuendelea na uzalishaji kwa ajili ya kupata kipato.
Kaimu Mkurugenzi  wa Usuluhishi CMA, Rodney Matalis amesema hayo alipokuwa akizungumza na Mfanyakazi kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Vijana.
Amesema CMA inajenga uelewa na utatuzi wa migogoro ya kikazi kwa vijana, kuwezesha ustawi wa vijana na taifa kwa kuwa watajikita katika uzalishaji mali.
Amesema katika kuwasaidia vijana ushirikiano kati ya vijana na waajiri unahitajika ili kuelewa mitazamo tofauti pamoja na kutafuta suluhu za kudumu.
“Vijana ni nguvu kazi kubwa katika kujenga  uchumi hivyo tume ina wajibu wa kuhakikisha migogoro inayopelekwa na vijana inasikilizwa kwa njia ya usuluhishi kwa sababu,
” Inaharakisha utatuzi wa migogoro na kuwafanya vijana kujikita na shughuli za uzalishaji mali,” amesema.
Amesema katika kuhakikisha nguvu kazi hiyo inatumika kikamilifu ni wajibu wa tume hiyo kuwaelimisha vijana juu ya umuhimu wa usuluhishi,
Lengo likiwa ni kukuza uchumi kwa kuangalia kuwa kundi hilo ni kubwa hivyo likipata uelewa wa utatuzi wa migogoro ya kikazi kwa njia ya usuluhishi litafungua fursa mpya za ajira kwa sababu migogoro mingi itasuluhishwa na kuvutia uwekezaji.
“Pia kuwasaidia vijana kujifunza mbinu za usuluhishi wa migogoro ya kikazi kutawajengea uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazoibuka mahala pa kazi,” amesema.

You Might Also Like

Wanafunzi Kutoka Veta Kushiriki Mafunzo Japan

Ridhiwani Aipongeza Mahakama Kuzingatia Ajira Kwa Wenye Ulemavu

TMA yatoa mwelekeo mvua za vuli 2024

Ridhiwani, Mlao na wanachama wa CCM Kata ya Bwilingu wakinadi chama chao dakika za lala salama

Tanzania, Ufini Kushirikiana Teknolojia Za Kisasa Sekta ya Misitu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wataalam wa “Visit Finland” Wabadilishana Uzoefu Kutangaza Utalii Duniani 
Next Article GWSON yawakumbuka watoto wenye vichwa vikubwa,mgongo wazi kumbukizi ya Mwl.Nyerere
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?