MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake
Habari

Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amesema wanategemea kupokea vitendea kazi mbalimbali vitakavyosaidia kutatua changamoto ya utendaji kazi.
Masauni amesema hayo wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Dodoma alipokuwa akizungumza katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa kabla ya kuzindua miradi na kuzungumza na wananchi kwenye Mkutano wa hadhara wilayani hapo.
Ametaja vitendea kazi vitakavyopokelewa kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuwa ni magari ya kuzima moto, helikopta, na boti.
Pia amesema wizara yake itafanyia kazi na kuziondoa changamoto zote za Vyombo vya Usalama vilivyo chini yake alizozibaini kwenye ziara hiyo.
Katika ziara hiyo Waziri Masauni amezindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Mkoa wa Dodoma ikiwemo uzinduzi wa vituo vya Polisi, Shule ya Sekondari na maabara ya shule ya Sekondari.
Amekiri watendaji wa Vyombo vya Usalama vilivyo chini ya Wizara yake  kufanya kazi kwa ufanisi na kujitoa kwa hali na mali ili  kuhakikisha amani na usalama inakuwepo wakati wote.

You Might Also Like

Rais Samia na maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia

Mawakili Wa Serikali Watakiwa Kuzingatia Katiba Ya Nchi Wanapoandika Sheria

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa Asisitiza Matumizi ya Mifumo ya Kieletroniki Katika Makusanyo
Next Article Watumishi wa Umma Watakiwa Kuwa na Nidhamu, Ubunifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja
Habari July 16, 2025
Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria
Habari July 16, 2025
Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo
Habari July 16, 2025
Utafiti Wa Nguvu Kazi, Mapato Ya Kaya Kutoa Taswira Mpya Ya Maendeleo
Habari July 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?